Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Washikaji jana nimeanza weeknd na kimeo balaaa ,Katika sehem niliyo kuwa nimetulia nilishare meza na mama moja ukimuona utazani bibi hivi,basi alipokolea kinwaji nilishangaa sana kuniambia kuwa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nina mchumba lkn anataka anihamishe kule anakoish yeye ikiwa cna uzofu nako ktk utafutaji, maisha yatalega sana;
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa tukufu la MMU, upweke ni kitu kibaya sana wapendwa! Pamoja na uzuri niliobarikiwa na Mungu lkn sijabahatika kupata wa kuniondolea upweke,natamani nipate mtu anipende nami...
5 Reactions
219 Replies
14K Views
valentine day ndo imekaribia, ikiwa ni siku ya wapendanao,ndugu jamaa na marafiki kukaa pamoja, natoa nafasi kwa atakayejisikia kuwa pamoja nami siku hiyo, kukaa,kula,kunywa kuongea na ku dance
0 Reactions
9 Replies
2K Views
I do not know you well, but what I know Enchants me, like a song sung far away. I cannot hear the words, but what they say Hangs softly on the hills where I must go. I see you furtively and note...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna rafiki yangu nasoma naye chuo wote tuko mwaka wa mwisho chuo flan hapa dodoma. Sasa kuna kijana flan ni askari polisi wanafahamiana kwa kuwa wote wametokea musoma, hivyo basi jamaa uwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Jambo mojawapo lililotokea kwa mwanadamu dhambi ilipoingia ni kuishi maisha ya umaskini na kupungukiwa. Dhambi pia iliweka matabaka ya matajiri na maskini. Toka mwanzo na hata sasa na siku zote...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni rahis sana kuwapoteza watu muhimu kwenye maisha yetu,either rafiki,mchumba,ndugu wa karibu rather than kuwapoteza watu tunaowachukulia kawaida tu.Inauma sana,na sijui kwa nin vitu hivi hutokea?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi kwanini madem wanakuwa na moods? mara wako sawa na vicheko vingi mara gafla wanakuwa butu kabisa, kimya, huzuni, mawazo! ni kwamba hawajiamini au mambo mengi kichwani? Waheshimiwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
mimi siongei na demu namwambia twende hotel chukua chako
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Hello wapendwa kwa kweli nimemiss sn hili jukwaa na wadau wake. Niko likizo ya uzazi na namshukuru sn Mungu kwa kujaliwa baby boy.nawapenda wote
5 Reactions
35 Replies
2K Views
NDOA NILIYOIPENDA KIUKWELII UKIACHA YANGU NAAMINI UPENDO HUU BADO UNAENDELEA KAMA MWANA JF WISH YOU ALL THE BEST KUELEKEA VALENTAINO
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Goodbye for now You and I have been through everything together Now it is time for us to part You will always have a place in my heart But not to worry Friends never really say goodbye six...
8 Reactions
69 Replies
4K Views
natafuta mchumba i mean girlfriend who is honest and faithful
0 Reactions
10 Replies
2K Views
habarini wanajf kati ya hivi kipi kizuri kupenda sana au kupedwa sana kipi bora?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hey friends, natafuta rafiki wa kuchat kwa 0755030957
0 Reactions
5 Replies
1K Views
natafuta mchumba na mungu akijalia tuje funga ndoa,nina miaka 30 natafuta mwanaume wa miaka kuanzia 36 mpaka 40 kabila lolote awe mkristo na mpenda maendeleo kama mimi,asiwe mlevi, awe mrefu asiye...
0 Reactions
1 Replies
966 Views
...KUFIKIRIA MAISHA KIVYAKO BILA MKE AU MUME KUMUHUSISHA ...MAMBO MABAYA NI MENGI KULIKO MAMBO MAZURI KWENYE NDOA YAKO ...UNAJISIKIA VIGUMU SANA KUWASILIANA NA MKE AU MUME WAKO ...KILA MMOJA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Amerudi na mtoto wa kitasha ,aliniacha maskin sasa nina fedha si kama Lowasa aaa ,ya kubadilisha tu mboga yaaan tajiri wa kati nifanyeje ndugu .Ila Mtasha wake alifariki katk Vita huko Afghan
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Nimepata Email hii kutoka kwa huyu jamaa yangu anataka ushauri,nimejiuliza cha kumshauri bado sijapata,naombeoi mnisaidie...........As u knw I'm 29 years old and have been living with my...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…