Halafu wewe....lol..Hata kama unanyonyesha tenga muda kidogo wa MMU!
bY THE WAY hONGERA SANA!
Mbona hukutuambia kuwa umejifungua, ona sasa zawadi zime'ekspaya, na hazimfai tena chalii wetu!
Ukizaa wa 5 nijulishe nitamgharamia kila kitu!
Hello wapendwa kwa kweli nimemiss sn hili jukwaa na wadau wake. Niko likizo ya uzazi na namshukuru sn Mungu kwa kujaliwa baby boy.nawapenda wote
SI...Hivi Mwali bado hajapata..au ndio mko kwenye process..Hongera mama mungu akupe nguvu zaidi na mwanao
oh dear hongera sana tena sana,furaha iliyoje kupata mtoto,Mungu awabariki.Hello wapendwa kwa kweli nimemiss sn hili jukwaa na wadau wake. Niko likizo ya uzazi na namshukuru sn Mungu kwa kujaliwa baby boy.nawapenda wote
Ndio maana umepotea kweli, hongera sana mamito!!
Hongera mama mungu akupe nguvu zaidi na mwanao
Paka Jimmy umenchekeshaje .. haha haha aa. Haya bana itabidi niangalie kama naweza kumwibia mwanangu muda nije pita kidgo hapa MMU kama leo hivi l.o.l