Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Umekaa na mpenzi wako sebuleni mmepumzika usiku...gafla unamuona anachart na hauna tym naye kwa anachokifanya gafla unasikia mlio wa msg kwenye simu yako,Unafungua msg na kusoma unakuta imetoka...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
habarini wana jf, shepu yangu inanikatisha tamaa kwani kila mwanaume anayeniapproach ukichunguza sana unakuta hana upendo wadhati bali alitamani shepu yangu tu ,na ninagundua kuwa ananitamani pale...
6 Reactions
66 Replies
6K Views
Jf imekua msaada mkubwa sana kwangu, nimebahatika kuwasiliana na watu wengi na wengine kufikia kuanzisha uhusiano ila nasikitika mara nyingi dini imekuwa kikwazo..kwani ahiwezekani watu wenye dini...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanaume wengi wafujaji au watesaji wa wake zao hujitahidi sana kumtenganisha mke na ndugu zake. Wanapofanikiwa kuwatenganisha, wanaume hao huwa wamejitengenezea wigo mpana zaidi wa kuwadhibiti...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Ni mchakato kabambe wa jinsi ya kumvutia mtoto wa kike hususani ukizingatia umuhimu wao katika kukamilisha furaha yetu ,wengi wameishi kutafuta wana wake wepesi kuwamaliza au vicheche , japo...
3 Reactions
118 Replies
22K Views
rb
:A S-cry: nobody chat wit meh why
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu...
11 Reactions
416 Replies
23K Views
Pm if serious
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Baada ya kupata ujauzito alihangaika kujua 'sex' ya mtoto kama akiwa wa kiume basi afunge uzazi maana tayari alishakuwa na mtoto wa kike. Baada ya kufanya vipimo vya ultr-sound, akaambiwa mtoto...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu,me cjui huwa nina tatzo gani,yan kila nikiwa naongea na msichana ambae nampenda kwa dhati huwa nakua speechless kabisa,naweza nka mcall kwenye simu afu ncmwambie kitu chochote cha maana,hadi...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
mumewe anafanya kazi hana muda wa kuongea na mke wake yeye na bb kuchat mke wake alikua akikwazwa na tabia hiyo kwan yeye alikua na kasimu ka tochikasichokua na hata internet Sasa amepata...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimekutana na mkaka online JF, tukaflirt sana PM huku tukipeana fake info about each other kwa muda kama wa miezi 8 hivi. Alinidanganya ameoa nami nikamdanganya kuwa nimeolewa. alinidanganya...
2 Reactions
64 Replies
4K Views
habari zenu ndugu zangu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
"Ni hivi karibuni nimefunga ndoa na mwanamke ambaye sijawahi kukutana naye kimwili hapo kabla, mara nyingi nilipotaka kukutana naye kimwili kabla hatujafunga ndoa alinikatalia na kunipa vipengere...
1 Reactions
101 Replies
24K Views
kwa msichana anaye hitaji penzi la dhati kabisa. . nichek 0712396230
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Jamani dunia inakwenda siko siku hizi na wanawake wamekuwa ni bure kabisa, hawawezi kuwafurahisha wanaume ndani ya ndoa, wengi wao wamekuwa magoigoi kwa kuwa hawezi kukatika wala kucheza ngoma zao...
7 Reactions
108 Replies
10K Views
There are somethings that a man will never tell you. But these things would help you understand your partner better and improve your relationship. 1- We want you to like our friends, but not...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wiki iliyopita nilitembelea mbuga ya Selous iliyoko huko Rufiji. Nilifikia katika Lodge ya Moja iliyopo hapo Selous, na miongoni mwa wageni tuliofikia katika Lodge hiyo kulikuwa na kina dada...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Hali zenu wanajamvi, huwa ninajiuliza kila siku. Kipi bora kati ya haya. Kuoa/kuolewa na mtu ambaye ana experience katika mapenzi au asiye na experience. Nikimaanisha kwamba mtu ambaye alishawahi...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Umepata msichana miezi mitatu nyuma, mmependana naye sana na ana kila sifa unayoitaka. Kuanzia umpate mambo yako yananyooka sana, unapata hela katika mazingira ya kutatanisha sana. Mara ukute...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…