Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kwa wanawake wote wa Jamiiforums 🌸🌸 Leo tunasimama kuwapongeza na kuwashukuru kwa nguvu, hekima, na mchango wenu mkubwa katika jamii. Ninyi ni chanzo cha upendo, ujasiri, na mabadiliko chanya...
14 Reactions
37 Replies
445 Views
Wengi huanza safari ya mafanikio wakiwa na maono makubwa, lakini njiani hupoteza mwelekeo kwa kukimbizana na wanawake wengi badala ya kujenga ndoto zao. Mwanaume mwenye maono hujenga thamani yake...
6 Reactions
5 Replies
195 Views
Habari za mda huu wanajamvi Huyu wangu tuliokotana mwaka jana mwezi WA 3 Aisee nakajihisi nimepata Ila baada ya siku kuenda Aisee naona hafai na nilipatikana mbona wanawake wa kipare huwa...
18 Reactions
245 Replies
4K Views
Single mother wote wakiingia kwenye mahusiano mapya huwa hawawaongelei vizuri wazazi wenzao. Hauwezi kusikia anasema "baba mtoto yupo anampenda na kumjali sana mwanae" . Mara zote utasikia "hata...
48 Reactions
309 Replies
4K Views
Amani ya Bwana iwe nanyi! Kuna mwanamke nilikua na appointment nae ya kwenda kusex leo, mimi kwa bajeti yangu ya elfu 30, nilipanga twende lodge flani tu hapa hapa mtaani. Mahesabu yangu yalikua...
5 Reactions
33 Replies
455 Views
"Dada samahani nilikuwa na shida na wewe kiukweli nimetokea kuvutia na wewe yaani nakupendaa" Kama wewe ni mwanaume alafu bado unamiseme hiyo hapo juu piga kifua angalia juu sema "mimi mpumbavu...
2 Reactions
31 Replies
586 Views
Hey people, Good evening Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Sababu ilikuwa ni ipi? Naanza, Wakati nasoma niliwahi kupendana na mtu ambaye alikuwa mwanaume wangu wa kwanza, baadae akaja niambia...
29 Reactions
367 Replies
7K Views
Wanawake ni wajanja sana. Wanawake wanajua kupangilia namna ya kuonwa. Kuanzia make up , nguo lakini pia watu atakao hang nao popote watakapo enda.
8 Reactions
65 Replies
797 Views
MSHKAJI WANGU ALIYEOA SINGLE MOTHER NA LEO HII ANATAKA KUJIUA KWA STRESS NA Dharau. Wakuu, leo nataka niwape simulizi ya kweli kabisa ya mshkaji wangu wa damu, ambaye alikuwa na utafutaji wake...
10 Reactions
165 Replies
2K Views
Hey people good morning, Uzi huu ni maalumu kwa wenye matamanio ya kuacha tabia za "hovyo" na kuanza tabia nzuri na zenye manufaa binafsi,na jamii Binafsi kuanzia leo tarehe 9 June, saa 06:00...
44 Reactions
185 Replies
2K Views
Muigizaji Siwa akizungumza kwenye kipindi cha mashamsham cha wasafi fm Juni 30/2026 na kusema ya kwamba hajawahi kuathirika anapoachana na mume wake na hutumia dakika 5 tu kutafakari pindi...
7 Reactions
57 Replies
768 Views
Nakumbuka ilikuwa mwaka 1994, Kihanga, huko Iringa Vijijini, kwa mipango yako nilizaliwa, mtoto mdogo mwenye afya njema. Miaka sita mbele hakika nilibadilika hasa, kijana mchangamfu, mchapakazi...
43 Reactions
374 Replies
60K Views
Ilikuwa mida ya asubuhi, ggrrrh mara simu yangu ikaita. kuangalia mdogo wangu Dogo: Kaka kwema, me: poa, dogo:kuna tv yangu naiuza niletee mteja, iko sehem fulani ukipata mteja mpeleke mimi...
14 Reactions
75 Replies
1K Views
Kwenye pakti za premium condom zenye brand nzuri na bei ya juu kama rough rider, Kiss na bull huwa ziko condom tatu. Ulishajiuliza kwa nini? Ni lwa sababu ili uichape na achapike hadi kuridhika...
0 Reactions
3 Replies
140 Views
Anahama kama fisi waliomaliza kula mzogo somewhere kwenye hifadhi. Pesa, kibunda, dollar,fedha,noti...hii kitu inaamua mambo mengi sana.
16 Reactions
72 Replies
1K Views
Kuna mtu alishaandika hivyo humu si muda mrefu. Kwa kweli na mimi leo nakiri... Yote hayo kwenye heading nayafanya, na nimefikia kwenye conclusion kwamba... it's very hard kunyooka. Cha kwanza...
25 Reactions
210 Replies
4K Views
Nimekuwa mfuatiliaji wa huu mtandao not so long, mwanzoni sikuweza kujiunga kwasababu sikujua namna ya kufanya hivyo. Baadae nikikutana na mtu ambae pia ni mtumiaji wa huu mtandao ndio akanipa...
39 Reactions
344 Replies
22K Views
Unatafta Mke JF au mtandao mwingine ? Mkuu umepotea Kwanza Mpaka mke aje kupatikana mtandaoni ni ama we una shida au na anayepatikana mitandaoni ana shida kulingana na wanaomjua live life , Kama...
5 Reactions
27 Replies
537 Views
Mtoto kaingia 18 zangu Kasema leo nakutoa out wewe wala usiingie mfukoni nafika nkuta wameleta Royal salute whisky haha ni 800$ babeki Acha tule life Hatari
3 Reactions
47 Replies
595 Views
Huwa nawashangaa sana wanaume ambao wakimwona msichana au mwanamke mzuri wa kuvutia lazima wajaribu bahati yao, iwe njiani, conference, baa, chuoni, safarini, kazini nk. Hivi huwa hata mnajiuliza...
15 Reactions
82 Replies
965 Views
Back
Top Bottom