Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Hey Wajaaaaa!!! Kuna huyu mwanamke anahitaji ushauri wa maana na ulio bora, pasipo kuathiri chochote. Ila kwenye Ndoa kuna heka heka jamanii, huwa nasemaga Njia ya muongo ni fupii, na ukweli...
7 Reactions
141 Replies
2K Views
  • Featured
Wakuu Moyo wangu unaumia sana, naona kama unavuja damu kutokana na maumivu ninayoyapitia karibu kila siku. Mpenzi wangu anatumia muda mwingi sana ku-chat na ex wake, na kila nikimuuliza anasema...
20 Reactions
104 Replies
3K Views
Unaweza kudhani nazungumzia kile unachokiwaza mawazoni mwako... Picha iliyojengeka ya kitu kilichopinduka...! Most likely gari.. Likiwa kichwa chini mijuu guu.! [emoji144] Ama dhana ya kucheua...
12 Reactions
35 Replies
4K Views
Wakuu Nilipokutana naye miaka mitatu iliyopita, sikujua kama ningekuja kumpenda kwa kiasi hiki. Tulianza kama marafiki, tukakaribiana, na baadae nikajikuta nimempa moyo wangu wote. Ni mtulivu...
9 Reactions
39 Replies
679 Views
Wanawake walimu hawatumiki sana.
4 Reactions
46 Replies
677 Views
Kuzaliwa mwanaume ni balaka kubwa sana inabidi umepewa thamani kubwa sana umepewa hazi ya kiongozi umepewa hazi ya mamlaka Mwanaume ata akikaa siku tatu bila kuoga hanuki ila mwanamke siku 1 tu...
9 Reactions
39 Replies
650 Views
Mwanamume mmoja anayeaminika kuwa na umri wa miaka 40 aliyetambulika kama Mitchell Dopoh amedaiwa kumlawiti Mbuzi na kusababisha kifo cha mnyama huyo. Kulingana na ripoti, uchunguzi wa awali...
11 Reactions
77 Replies
983 Views
Hawa watu kutoka kanda ya ziwa ni wakatili sana hasa hasa wanawake yaani ukitaka kuona dunia chungu au ndoa ni chungu oa mwanamke kutokea kanda ya ziwa aisee mimi niliona cha mtema kuni nusura...
5 Reactions
17 Replies
490 Views
Tumekubaliana tukadinyane likataka nilitumie elf 10 ya nauli nikaliambia nitalifuata lilipo usafiri ninao limeamua kuniaga. Hatapeliki mtu
6 Reactions
11 Replies
317 Views
Siku hizi most members just stay low-key. Ile legacy ya wakati ule imepotea. Ile vibes na zile late nights zilizokuwa zikifanyika kwa sababu ya non-stop conversations are slowly dying. I really...
7 Reactions
12 Replies
169 Views
1. Leo usiku huu,mnapeana utamu mkiwa wapi? Gest house,nyumbani,polini au umekosa wa kuruka naye? 2. Utamu unaupata toka kwa nani? Mke/mme wako,danga,ama umeamua ulale kapa bila kupata radha ya...
3 Reactions
12 Replies
200 Views
Sijui kwanini kuna hili wimbi la ma barmaids na madada poa wengi kutoka kanda ya ziwa wakati wanafanya zamani tulikuwa tunajua madada poa na ma bar maid wengi ni kutok pale kanda ya kati ila...
8 Reactions
75 Replies
864 Views
Leo nitakua pale Kibaha Mlandizi, nataka gesti nzuri ya bei ya chini ili kuweza kuenjoy na mtoto mzuri wazee msaada wenu.
2 Reactions
30 Replies
365 Views
Hongereni kwa darasa la sheria kutoka kwa mh. Ndugu T.A.M LISSU. Nipo na mke wangu sasa ni mwaka wa 4 sijwahi mpiga hata kofi maana anajitahidi kwenye utii kwa kweli. Alimleta mdogo wake wa kike...
15 Reactions
64 Replies
1K Views
Naombeni ushauri au neno lolote. Hapa ninapoishi (Ubungo) nimepata mgeni wa kike. Dada huyu alikuwa ni rafiki yangu wa huko nyuma kabla sijaachana na ile kazi ya haramu niliyokuwa naifanya kule...
17 Reactions
98 Replies
6K Views
Hili la wanawake kuwa na wanaume wengi limekuwa kama sheria waliyoipitisha wenyewe. Yaani asilimia ndogo sana wanawaume zao baasi, hawa 1970 hadi 1990, hawa wa 2000 kuja 2010 asilimia kubwa wana...
3 Reactions
11 Replies
195 Views
  • Poll Poll
Kati ya mwanaume na mwanamke, nani hupitia maisha ya tabu zaidi ndoa inapovunjika? tukitazama hali halisi ya maisha ya Watanzania, ukweli unauma: wanawake wengi wanakosa uhuru wa kiuchumi...
6 Reactions
51 Replies
3K Views
Mwanamke akilimwaga lile kojo wakati wa tendo kwanza anakuwaga zaifu zaifu ataona we ndo kila kitu kwake mana ni wachache wana ujuzi wa kumtolesha mkojo. Asa we kama ulimpa ela idai ela yako...
3 Reactions
10 Replies
395 Views
Raha ya mapenzi ni miguno na sauti laini kutoka kwa mwanamke , mwanamke asiyetoa miguno hajafundwa uyo na ni mshamba wa mapenzi. Uko telegram watu wananunua video za majamboz si kwamba ni nzuri...
4 Reactions
22 Replies
569 Views
Muda mfupi mke wangu akiwa usingizini alikua anaweweseka sijui ni kuota kwa sauti,basi akasema uuuu! Uuuu huo mpira umepasuka huo. Sasa wakuu hiyo kauli imenishtua kidogo isiwe ndo akili...
8 Reactions
52 Replies
835 Views
Back
Top Bottom