hakika nakuambieni wana MMU..kuwa na mpenzi mmoja ni kama kujitwisha zigo la mateso ,,yani wajifunga mwenyewe bila kujielewa.
Kwanini? B coz,,
1.huyo mpenzi akikuchoka tu anaanza vimbwanga...
Watu wasichanganye pepo la ngono na jini mahaba
Jini mahaba ni pendapenda japo hupenda mmoja kwa Wakati mmoja, ukiona mtu anakupenda bila sababu na anakuwa tayari kufanya chochote, namaanisha...
habari zenu wana mmu!!?
mwenzenu nimeamka na hili kichwani mwangu.. nimeona nije mbele za great thinkers tupeane ushauri!
jana katika pita pita zangu mitandaoni, nilikutana na ishu moja ambayo...
Nimetafakari haya maisha nikagundua kuna ulazima wa kumshukuru MUNGU. Mwaka huu pekee 2013 watu wengi sana tunaowafahamu na tusiowafahamu wamepoteza maisha kwa sababu mbalimbali. Kuna watu wengi...
Hivi una mpenzi wako halafu hataki kwao wajue,anasema tukiachana aibu.unajalibu kumshauri hata kutumia marafiki zake lakn inashindikana.uaminifu ktk mahusiano yenu nimwaminofu sanaa,myezi saba...
Wana jf salaam. napenda kushare nanyi hii kitu ambayo ilinitokea personaly, ambapo nilinusurika kuambukizwa hiv mara 3 kwa vipindi 3 tofauti na warembo 3tofauti. this is the story, dem wa kwanza...
Hello funs,please nisaidieni kutatua hili tatizo ili nifikishe ujumbe...
NINA UMRI WA MIAKA 24,NIMETOKEA NIMEPENDANA NA KIJANA ILA NYUMBANI WAMEMKATAA KISA SI KABILA LANGU,LAKINI KABLA YA HAPO MY...
Habarini za leo wana MMU wenzangu!!,
Leo nimeona si vibaya nikaamua kuwaelekeza dada zetu hasa nyie ambao mmeolewa mmekuwa na matatizo sana kiasi cha kuwa ndio chanzo kikuu cha kuharibu ndoa...
kama wewe ni mwanadada unahitaji mume na una sifa zifuatazo nipm haraka iwezekanavyo
-uwe na kazi
-uwe mrefu kiasi
-usiwe mbaya sana wala mzuri sana kisura
-Usiwe mpare wala mhaya
Mengine yote...
kuna rafiki yangu alishapelekwa kijijini na dada moja kwenda kutambulishwa kuwa ndo baba watoto mtarajiwa lakini haikuchukua miezi miwili jamaa kapata taarifa kua yule binti kafunga ndoa jana...
Habari za jioni wanaJF,
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku.
Katika kuzingatia sherehe mbalimbali watu wengi wamekuwa wakipata shida sana hasa...
Haya sasa; kuna habari hapa mjini dodoma yakwamba yule nabii anayefanya shughuli zake za kinabii maeneo ya jamatini karibu na stendi ya daladala, kamtia mimba mwanafunzi. Nikipata mda mzuri...
Kuna dada wengi nao wana tatizo la kufika kileleni mapema na wakishamaliza wanachoka kabisa na hawatamani kuendelea.Wengine wanaweza kukuambia kabisa honey kojoa basi wakati huo wewe una mawazo ya...
Yaweza kuwa ni Mkoa mpya lakini sie tu wenyeji...Kama mpo hapa let's meet up here Bandugu bane...we Bashosha ng'ombe, bagalu na bagika......Mbiti/ au Mhango nawaklisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.