Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Wakuu salamu kwenu nyote. Mwaka jana nikiwa eneo X jijini Dsm, nilipata Mshangazi umenizidi umri wa miaka kama 6 na watoto wawili. Ukweli ananipenda sana na pindi zingine kunipiga sapoti ya...
13 Reactions
104 Replies
1K Views
Wakuu, 1. Msichana miaka 18-22 2. Awe mcha Mungu 3. darasa la 7 mwisho 4m4 4. rangi maji ya kunde au mweupe sifa zangu 1. kidato cha nne 2. maji ya kunde 3. mrefu sio mnene sana
4 Reactions
7 Replies
197 Views
Twende direct kwenye mada .... Mmejionea wenyewe wake zenu walivyo "paparika" kwa russian guy. Yaani zile ndio tabia halisi Yaani wale ndio mlioa Ila kuna "case" mbili zimenisikitisha sanaaa...
17 Reactions
75 Replies
1K Views
Eee mungu tusaidie tanzania Aibu hii isitukutute maana n shida Kuna sakata la amrussia kukula wake za watu 400 kenya Yaan toka majuzi ndoa zinazidi kuparqnganyika na leo wanasehria 10...
2 Reactions
6 Replies
162 Views
MWANAUME KAMA UNA TABIA | SIFA HIZI, TAFADHALI ACHANA NA MASUALA YA NDOA | KUOA HADI PALE UTAKAPOAMUA KUKUBALIANA NA HALI HALISI Ndoa si ya kila mtu Ndugu zangu, kama bado hujajiandaa kiakili...
7 Reactions
9 Replies
536 Views
Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Mungu, karibuni tena katika maombi maalum ya siku 21 kwa walio katika mahusiano kwa ajili ya kuombea mahusiano na uchumba. Day 05 Bwana Yesu, naomba moto wako...
3 Reactions
5 Replies
170 Views
Mwaka umekuwa na mambo mengi sana, tupunguze stress kidogo.....Ulishawahi kupata aibu hii? Miaka ya nyuma kidogo nikiwa bado mwanafunzi form 4 nadhani kuna jibaba enzi hizo buzi, likanipa mistari...
108 Reactions
515 Replies
30K Views
Habari za asubuhi Katika tafiti yangu hii nimekuja na sababu kuu 2 ambazo ukizifatilia kwa undani utaungana namm kwenye hili suala 1. Kipindi hicho kulikua hakuna na huduma za miamala ya simu...
2 Reactions
1 Replies
185 Views
Ili Mwanamke akupende kwa dhati hakikisha anajua una wanawake wengi
9 Reactions
50 Replies
772 Views
Siku ya wapendanao, watu wengi hutumia kwa kuwa na muda wa pamoja, japo si lazima kufanya ngono, ila ikitokea mmekutana kimwili basi zingatia haya. Kama mwanamke yupo kwenye siku zake leo Feb 4...
18 Reactions
207 Replies
2K Views
  • Redirect
Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Mungu, karibuni tena katika maombi maalum ya siku 21 kwa walio katika mahusiano kwa ajili ya kuombea mahusiano na uchumba. Day 05 Bwana Yesu, naomba moto wako...
2 Reactions
Replies
Views
Habarini, Wiki ya juzi nilimfata mdada mmoja jirani, ilikua mida ya jioni, nikamwomba namba akanigea, tuka chat jioni ya siku hiyo, na kesho asubuhi. Obviously nlichukua namba yake ili...
40 Reactions
185 Replies
3K Views
Kuna dawa gani zitaongeza urefu na unene wa mashine? Jana nmebahatika kupata jidada lenye kinu kipana sana na mchi wangu umekuwa mwembamba na mfupi. Je kuna dawa za kuongeza size ambazi hazina...
2 Reactions
15 Replies
312 Views
Leo nimekuwa na mjadala na mwanetu makaveli10 yeye anasema kuna wanawake ni level nyigine hata ufanyaje hauwezi kumpata. "Kuna mademu bongo we mwenyewe unawatamani lakini level ile si yako na...
19 Reactions
98 Replies
1K Views
Kuna hii tabia inazidi kutrendi, mtu ana familia yake yenye mke na watoto lakini anasajili mali kwa majina ya wazazi na ndugu zake. Ni sawa ?
5 Reactions
15 Replies
227 Views
Leo nawapa siri ya vijana kupenda mashangazi ,mashangazi yameshaingia menopause hakuna mambo ya kukwepa mdinyano kisa upo period mashangazi mda wote unadinya ule ubabaifu wa kuwekewa tomato...
1 Reactions
2 Replies
146 Views
Mtafiti mmoja alinunua kitabu chenye kichwa "Wanawake Wanahitaji Nini?" Akakutana na vitu 2.000, Akatabasamu, Kisha akakichoma. Kwa nini? Kwa sababu katika asili, Jike halina orodha ya vitu...
18 Reactions
71 Replies
2K Views
Hebu njoo tujadili na tufikirie wotee kwa mifano thabiti ...... 1. Namjua John, Alikuwa afisa biashara Halmashauri kubwaa, matajiri wakawa wanamfata na kumtafuta ili mambo yao ya kwenye biashara...
32 Reactions
125 Replies
2K Views
Hamjambo! Moja ya mambo ambayo Wanaume tumefanikiwa kuwarubuni na kuwashawishi wanawake ni ile dhana ya kusema hatuwaelewi wanawake wanataka nini. Na hatuwajui wanawake. Ila kimsingi hiyo ni...
8 Reactions
29 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…