Wakuu salamu kwenu nyote.
Mwaka jana nikiwa eneo X jijini Dsm, nilipata Mshangazi umenizidi umri wa miaka kama 6 na watoto wawili. Ukweli ananipenda sana na pindi zingine kunipiga sapoti ya...
Wakuu, 1. Msichana miaka 18-22 2. Awe mcha Mungu 3. darasa la 7 mwisho 4m4 4. rangi maji ya kunde au mweupe sifa zangu 1. kidato cha nne 2. maji ya kunde 3. mrefu sio mnene sana
Twende direct kwenye mada ....
Mmejionea wenyewe wake zenu walivyo "paparika" kwa russian guy.
Yaani zile ndio tabia halisi
Yaani wale ndio mlioa
Ila kuna "case" mbili zimenisikitisha sanaaa...
Eee mungu tusaidie tanzania
Aibu hii isitukutute maana n shida
Kuna sakata la amrussia kukula wake za watu 400 kenya
Yaan toka majuzi ndoa zinazidi kuparqnganyika na leo wanasehria 10...
MWANAUME KAMA UNA TABIA | SIFA HIZI, TAFADHALI ACHANA NA MASUALA YA NDOA | KUOA HADI PALE UTAKAPOAMUA KUKUBALIANA NA HALI HALISI
Ndoa si ya kila mtu Ndugu zangu, kama bado hujajiandaa kiakili...
Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Mungu, karibuni tena katika maombi maalum ya siku 21 kwa walio katika mahusiano kwa ajili ya kuombea mahusiano na uchumba.
Day 05
Bwana Yesu, naomba moto wako...
Mwaka umekuwa na mambo mengi sana, tupunguze stress kidogo.....Ulishawahi kupata aibu hii?
Miaka ya nyuma kidogo nikiwa bado mwanafunzi form 4 nadhani kuna jibaba enzi hizo buzi, likanipa mistari...
Habari za asubuhi
Katika tafiti yangu hii nimekuja na sababu kuu 2 ambazo ukizifatilia kwa undani utaungana namm kwenye hili suala
1. Kipindi hicho kulikua hakuna na huduma za miamala ya simu...
Siku ya wapendanao, watu wengi hutumia kwa kuwa na muda wa pamoja, japo si lazima kufanya ngono, ila ikitokea mmekutana kimwili basi zingatia haya.
Kama mwanamke yupo kwenye siku zake leo Feb 4...
Bwana Yesu asifiwe watumishi wa Mungu, karibuni tena katika maombi maalum ya siku 21 kwa walio katika mahusiano kwa ajili ya kuombea mahusiano na uchumba.
Day 05
Bwana Yesu, naomba moto wako...
Habarini,
Wiki ya juzi nilimfata mdada mmoja jirani, ilikua mida ya jioni, nikamwomba namba akanigea, tuka chat jioni ya siku hiyo, na kesho asubuhi. Obviously nlichukua namba yake ili...
Kuna dawa gani zitaongeza urefu na unene wa mashine? Jana nmebahatika kupata jidada lenye kinu kipana sana na mchi wangu umekuwa mwembamba na mfupi.
Je kuna dawa za kuongeza size ambazi hazina...
Leo nimekuwa na mjadala na mwanetu makaveli10 yeye anasema kuna wanawake ni level nyigine hata ufanyaje hauwezi kumpata.
"Kuna mademu bongo we mwenyewe unawatamani lakini level ile si yako na...
Leo nawapa siri ya vijana kupenda mashangazi ,mashangazi yameshaingia menopause hakuna mambo ya kukwepa mdinyano kisa upo period mashangazi mda wote unadinya ule ubabaifu wa kuwekewa tomato...
Mtafiti mmoja alinunua kitabu chenye kichwa "Wanawake Wanahitaji Nini?"
Akakutana na vitu 2.000,
Akatabasamu,
Kisha akakichoma.
Kwa nini?
Kwa sababu katika asili,
Jike halina orodha ya vitu...
Hebu njoo tujadili na tufikirie wotee kwa mifano thabiti ......
1. Namjua John,
Alikuwa afisa biashara Halmashauri kubwaa, matajiri wakawa wanamfata na kumtafuta ili mambo yao ya kwenye biashara...
Hamjambo!
Moja ya mambo ambayo Wanaume tumefanikiwa kuwarubuni na kuwashawishi wanawake ni ile dhana ya kusema hatuwaelewi wanawake wanataka nini. Na hatuwajui wanawake. Ila kimsingi hiyo ni...