Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
It was not a date, just a few minutes meeting. Mara ghafla anatokea msichana , mdada, mzuri hadi naogopa, huyu ni jini au ni malaika? Otea alikuwa ni nani kati ya hawa? Miss Natafuta, Nakubusu ...
17 Reactions
111 Replies
1K Views
Kwa sababu ya umri na kupungua kwa majukumu ya kazi miezi ya karibuni nimekuwa nikipata muda wa kutafakari matukio kadhaa ambayo yameacha alama kwenye maisha yangu. Aidha ni matukio yalitonitokea...
3 Reactions
7 Replies
532 Views
Kama huna hela jitahidi uwe muongo, wanawake wanapenda kimojawapo Ukiwa muongo muongo halafu msafi utagonga sana mademu kuliko hata wenye fedha.
4 Reactions
8 Replies
295 Views
Wakuu, huyu Sandra ndiye aliyeniingiza rasmi katika ulimwengu wa mahaba,kupendwa, kujali,kudekezwa na uchafu wote kunako sita kwa sita alinifundisha yeye,alikuwa anainyonya,anaimumunya kama pipi...
2 Reactions
10 Replies
215 Views
Hello fam it me beautiful girl ❤️❤️ karibuni sana najiamini kama na wewe unajiamini post ya kwako hahaha
11 Reactions
152 Replies
2K Views
Mshikaji wangu mmoja alikuwa kwenye mahusiano na mwenza wake kwa muda mrefu. Kwa kuwa waliaminiana kupita kiasi, alimpa mwenza wake Password ya simu yake akiamini ni ishara ya upendo na uwazi...
0 Reactions
2 Replies
147 Views
Salam wakuu, andiko hili ni kwa ajili ya kuelimisha jinsi jamii inavyo paswa kuishi na ma jobless pro max. Jamii yetu ina watu mbali mbali, wapo wenye ajira, ma jobless pro max, watu wa daraja la...
49 Reactions
236 Replies
6K Views
Mimi ni mwanaume na ninahitaji roommate awe wa kike ili tupangishe apartment walau ya 150k-250k au BELOW, then tu share kodi kupunguza gharama za kodi. Binafsi nina WiFi na kitanda tayari so hata...
13 Reactions
53 Replies
790 Views
Habarini, Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko...
34 Reactions
373 Replies
17K Views
Siku Moja Nipo Rada..Natembea..Mitaani kwa mbaali...Naona Mmama wa Kiislam ,Ametupia Nikabu Sura Haionekani ..oyaa mi hua Sifagilii Unyonge kabisa, Nika mpiga mkono kama Traffic na Kumuweka...
1 Reactions
16 Replies
444 Views
1. Kua katika mousanyiko kisha kijana/mwanaume wa rika lake anashuka kwenye ndinga, wakati huo yeye hana mbele wala nyuma, huwa wanajisikia unyonge mkali sana. 2. Anapopishana na mwanaume alie...
6 Reactions
62 Replies
968 Views
Niongeze sauti ama Hamjaelewa
2 Reactions
4 Replies
82 Views
Angalia historia za kuvuja kwa connection zote duniani na hapa nchini jamii itamsema vibaya mwanamke badala ya mwanaume. Mwaka 2008 dunia ilishuhudia kichupa kikivuja cha mjuba Ray Jay na Kim...
30 Reactions
100 Replies
1K Views
Kwa mtazamo na ufahamu wako uko sahihi sana.. Kwakuwq umeshajiandaa umeshajipanga na nia yako ni dhabiti na ni kamili Tayari kichwani una picha ya ujumla ya umtakaye ambaye naye yuko kamili na...
10 Reactions
28 Replies
413 Views
Mrussia hakutaka kujimaliza kama SIMPS wengi mnavyofanya Alisikika tu akisema: "Hello. How are u doing? You look good. I'm from Russia My English bad Come with me." Magetoni mademu wanapewa...
39 Reactions
258 Replies
4K Views
Mwanamke akitoka period muwahi haraka haraka kwanza anakuwaga ana hamu ya mapenzi sana yani nyege zinajaa K ukiigusa ya motooo Yani mda mwingine unakuta anajibinua binua ovyo kumbe anataka mshedede
2 Reactions
6 Replies
242 Views
Wakuu salamu kwenu nyote. Mwaka jana nikiwa eneo X jijini Dsm, nilipata Mshangazi umenizidi umri wa miaka kama 6 na watoto wawili. Ukweli ananipenda sana na pindi zingine kunipiga sapoti ya...
13 Reactions
104 Replies
1K Views
Wakuu, 1. Msichana miaka 18-22 2. Awe mcha Mungu 3. darasa la 7 mwisho 4m4 4. rangi maji ya kunde au mweupe sifa zangu 1. kidato cha nne 2. maji ya kunde 3. mrefu sio mnene sana
4 Reactions
7 Replies
197 Views
Twende direct kwenye mada .... Mmejionea wenyewe wake zenu walivyo "paparika" kwa russian guy. Yaani zile ndio tabia halisi Yaani wale ndio mlioa Ila kuna "case" mbili zimenisikitisha sanaaa...
17 Reactions
75 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…