kanchibay
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 672
- 687
Wakuu hivi kuna mtu ashawahi kuwa na upendo kwa kitu au mtu mpaka akahisi bila hicho kitu au huyo mtu furaha hamna kabisa!!!
Nihiviii, kuna sikumoja hivii nilkua nnampenda mdada flani hivii nahisi kipindi hicho nilkua bado mdogo saaana by 13/14 yrs, sasa ikipita siku sijamuona asee nilkua nahisi kuumwa kabisa, yaan nilkua nampenda mpaka basii, nilkua nampenda lakin naogopa kumwambia, sasa ikatokea akahama shule dah!! Niliumia sana mpaka nkahisi sintopata fraha tena kabisaaa katika maisha ya shule, hilo nikaliona nalo...
Hii sasa ndo kali, kuna kipindi mzee alininunulia baiskeli, sasa kile kibaiskeli nilkua nakipenda saaaana maana ndo nilkua nazurura nacho kitaa na kila kona nilpokua nkielekea, hakika kilitumika kunipa faraja pale nilpokua nakiendesha bcz kilikua too mordern gia kama zote n.k
sasa kuna siku kikaibiwa nimeenda kuangalia mechi kuna tim flan hiviii zilkua zinacheza, dah nkakiacha nje nakuingia kibanda umiza, alooo kilibebwa kimefunngwa hivoivyo, asee kwa uoga, uchungu na kutokujua lipi nifanye niliitafuta baskeli yangu pendwa hadi kwenye mfuko wa suruali nilokua nimelivaa...
Dah kuibiwa kitu upendacho sio kazi ndogo, moyo unakutesa hadi basiii
Nihiviii, kuna sikumoja hivii nilkua nnampenda mdada flani hivii nahisi kipindi hicho nilkua bado mdogo saaana by 13/14 yrs, sasa ikipita siku sijamuona asee nilkua nahisi kuumwa kabisa, yaan nilkua nampenda mpaka basii, nilkua nampenda lakin naogopa kumwambia, sasa ikatokea akahama shule dah!! Niliumia sana mpaka nkahisi sintopata fraha tena kabisaaa katika maisha ya shule, hilo nikaliona nalo...
Hii sasa ndo kali, kuna kipindi mzee alininunulia baiskeli, sasa kile kibaiskeli nilkua nakipenda saaaana maana ndo nilkua nazurura nacho kitaa na kila kona nilpokua nkielekea, hakika kilitumika kunipa faraja pale nilpokua nakiendesha bcz kilikua too mordern gia kama zote n.k
sasa kuna siku kikaibiwa nimeenda kuangalia mechi kuna tim flan hiviii zilkua zinacheza, dah nkakiacha nje nakuingia kibanda umiza, alooo kilibebwa kimefunngwa hivoivyo, asee kwa uoga, uchungu na kutokujua lipi nifanye niliitafuta baskeli yangu pendwa hadi kwenye mfuko wa suruali nilokua nimelivaa...
Dah kuibiwa kitu upendacho sio kazi ndogo, moyo unakutesa hadi basiii