chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 338
Habari za usiku wakuu...poleni na majukumu ya mchana kutwa.
Nielekee direct kwenye hoja yangu! Nimewahi kuona ama kupitia nyuzi nyingi za wadada wanaodai kutafuta waume wa kuwaoa ( wengi wao wakiwa ni single mother) .
Dada zangu muwe makini sana ktk kutafuta kwenu huyo mume vinginevyo mtajikuta mnazalishwa na mnaachwa solemba.
Sisi wanaume Akili zetu tunazijua wenyewe.haswa tukishikwa na genyeeeee
Nielekee direct kwenye hoja yangu! Nimewahi kuona ama kupitia nyuzi nyingi za wadada wanaodai kutafuta waume wa kuwaoa ( wengi wao wakiwa ni single mother) .
Dada zangu muwe makini sana ktk kutafuta kwenu huyo mume vinginevyo mtajikuta mnazalishwa na mnaachwa solemba.
Sisi wanaume Akili zetu tunazijua wenyewe.haswa tukishikwa na genyeeeee