"Kila Aguswaye na Penzi Huwa Mshairi" - Plato,
.
.
My dearest Evelyn Salt ,
.
.
.
I LOVE YOU!
.
I love you like the last meat in the pot,
Yaani ninakupenda kuliko mchaga na noti.
.
.
I love you...
Leo ndo weekend inaanza na kama kawaida viwanja kwa jiji letu la dar ni vingi ila kuna kile uwezi kutamani kuacha kwenda na hela yako unayotumia eneo hilo unaona kabisa haijapotea....naomba...
Wakuu, mama mwenye nyumba ananisumbua anataka nimgegede, ameniambia nisipomgegeda atanipandishia kodi. Ushauri wenu unahitajika, nimgegede au niache?
Baadhi ya marafiki zangu wamenishauri...
Wazazi
1. Baba. Maandiko Matakatifu yanampa mume na baba jukumu la kuwa kiongozi na kuhani wa familia. (Kol.3:18-21; 1Pet.3:1-8). Anakuwa mfano wa Kristo, kichwa cha Kanisa. “Kwa maana mume ni...
Namjua baba yangu,ila kutokana sababu ambazo siwezi kuzisema hapa baba yangu akaachana na mama na akanikana mimi milele. Tangu hapo nikaacha kutumia majina ya baba nikawa natumia majina ya mjomba...
Habari wana jamvi!
Nije kwenye mada husika.Mwanaume ana mke halali wa ndoa, ana kimada kakipangia chumba,ana mchepuko wa kudumu,ana girlfriend lakini bado anazidi kutogoza na kuwatamani wanawake...
Habari wakuu naamini mmeshinda salama baada ya mizunguko ya siku. Basi nisiwachoshe Sana niende Moja kwa Moja kwenye mada husika.
Naomba mwenye sms za Kimahaba atupie hapa tuone anavyompa demu...
Wakuu hali,
Siku moja nikiwa nasafiri kuelekea nyumbani mkoa nilikaa siti moja na mke wa mtu ambaye alimsindikiza hadi kwenye basi na akahakikisha basi limeondoka ndipo akarudi kwao.
Baada tu...
Wanawake msikasirike sisi wakina Pablo bila kuchepuka hatupati usingizi usiku, yafuatayo ni maswali na kauli za kijinga kutoka kwa michepuko yangu
1. Naomba na mimi uninulie Noah nyeusi Kama ile...
Kwa mwezi wa pili sasa ninahangaika kupata Condom. Nilizoea kuzipata duka la jirani na pharmacy za jirani.
Ghafla zikaaza kutoonekana jirani. Nikadhani ni uzembe wa maduka ya jirani nikaja...
Kumeibuka wanawake wanaotaka kuwa juu ya mwanaume, kisa tu wanamiliki majumba kwa sasa au wanamiliki mikwanja mirefu.
Kama ni uhusiano nakuhakikishia hautadumu na hii ni kwa sababu mwanamke...
Hizi Tabia 7 za Mwanamke zinazoshangaza, nawe ongezea uzijuazo.
1.Mwanamke siku zote hufikiria apate(kuolewa) na Mwanaume mwenye pesa na mwonekano mzuri japo yeye ni kituko na hana chochote zaidi...
Katika dunia ya sasa ma single mothers/single fathers(fathers wasojua majukunu yao) wanaongezeka kila kukicha, tena ni vibinti /vijana vidogo tuu, kuna shida kubwa kwenye jamii zetu kwa sasa.
kwa...
Dear Wife to Be.
Ningekupost hapa lakini unajichelewesha mwenyewe, mimi niko tayari hata leo. Tatizo simu hutaki nikupigie, unaweka standard ambazo zimevuka mipaka. Sasa mimi nifanyeje.?
Text...
Habari zenu wana MMU.
Baada ya mke wangu kugundua mimi ni mlevi wa mpira,yani kwa sasa nashindwa kumuelewa ana maana gani,wakati mahitaji yote.
Alhamisi niliporudi kutoka kazini,mke wangu...