Wapi panachangamka kwa siku ya ijumaa

Wapi panachangamka kwa siku ya ijumaa

BMWsimba

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
347
Reaction score
512
Leo ndo weekend inaanza na kama kawaida viwanja kwa jiji letu la dar ni vingi ila kuna kile uwezi kutamani kuacha kwenda na hela yako unayotumia eneo hilo unaona kabisa haijapotea....naomba tuambiane ni kiwanja kipi cha kwenda maana weekend naona ninachohitaji kwa leo ni sehemu nitakunywa kula na kucheza mziki, kucheza mziki ndio zaidi na seheme yenye ke za kutosha ndo la muhimu zaidi.
Happy weekend
 
Leo ndo weekend inaanza na kama kawaida viwanja kwa jiji letu la dar ni vingi ila kuna kile uwezi kutamani kuacha kwenda na hela yako unayotumia eneo hilo unaona kabisa haijapotea....naomba tuambiane ni kiwanja kipi cha kwenda maana weekend naona ninachohitaji kwa leo ni sehemu nitakunywa kula na kucheza mziki, kucheza mziki ndio zaidi na seheme yenye ke za kutosha ndo la muhimu zaidi.
Happy weekend
Dar maisha ni mepesa sana hata mwenye kua na laki moja unaulizia sehemu nzuri za starehe.......njoo hapa uone kama unaweza kuulizia visehemu sehemu maisha gari
 
Hata kwa dawa hunipeleki Tabata. Inshort ukiiniona Tabata piga yowe Guzman_ katekwa. Kuna mabwabwa wengi sana huko.
Hahahahahah huko sio kuzuri mkuu; mi nataka sehemu yenye mizgo mkuu
 
Leo ndo weekend inaanza na kama kawaida viwanja kwa jiji letu la dar ni vingi ila kuna kile uwezi kutamani kuacha kwenda na hela yako unayotumia eneo hilo unaona kabisa haijapotea....naomba tuambiane ni kiwanja kipi cha kwenda maana weekend naona ninachohitaji kwa leo ni sehemu nitakunywa kula na kucheza mziki, kucheza mziki ndio zaidi na seheme yenye ke za kutosha ndo la muhimu zaidi.
Happy weekend
Usikute we unakunywa konyagi tu hafu unajifanya kuulizia viwanja vikali
 
Usikute we unakunywa konyagi tu hafu unajifanya kuulizia viwanja vikali
Hahahahahah viniywaji vikali tunatumia kulingana na kampani mkuu; siunajua pombe ni kujaribu mpaka ugunduzi utakapoisha maana pombe ni nyingi
 
Back
Top Bottom