Nahisi kuna uhaba wa condom, itatuathiri

Nahisi kuna uhaba wa condom, itatuathiri

Manyunyuyote

Member
Joined
Feb 1, 2017
Posts
66
Reaction score
39
Kwa mwezi wa pili sasa ninahangaika kupata Condom. Nilizoea kuzipata duka la jirani na pharmacy za jirani.

Ghafla zikaaza kutoonekana jirani. Nikadhani ni uzembe wa maduka ya jirani nikaja kugundua tatizo limeenea eneo lote na kikweli maeneo mengi ya D'Salaam maduka hayana condom.

Sijajua wengine mmeionaje hii hali lakini kama itaendelea hivi basi mimba zisizotarajiwa na ukimwi vitaongezeka.

Hebu leteni mawazo yenu.
 
Tafuta mpenzi wako mmoja, pimeni Afya zenu. Na usichepuke.
Problem solved
Usichepuke= Wasichepuke hili ni suala la me na ke, sio upande mmoja tu. Unakula pipi na ganda lake why?
 
mim nina maboks matat ndan nahis yatanisogeza sana mpaka mwakani,,ila aibu sana unakufa wat wanakuja ndan kwako wanakuta umejaza makondom tu,, huna bible wala msahafu ,,we ni makondom tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom