Ushauri tajiri Jack ili uwe na ufanisi kazini

Ushauri tajiri Jack ili uwe na ufanisi kazini

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
8,238
Reaction score
12,611
Haya sasa
Screenshot_20190523-214947_Instagram~2.jpeg
 
Mtu mwenye uhakika wa tendo,huwa na ufanisi mkubwa katika utendaji
 
Mhh.. huyo nae anapenda "wogorowogoro" tuu,.wabongo tusimsikilize huyu jamaa tutazidi kuwa masikini...chaaa!!!

Kwanza shoo ya mbongo/niggas na hao wachina sijui wazungu ni tofauti,.
 
Hii mbinu ndiyo iliyo muangusha raila odinga kwenye uchaguzi zilizopita.
 
Mhh.. huyo nae anapenda "wogorowogoro" tuu,.wabongo tusimsikilize huyu jamaa tutazidi kuwa masikini...chaaa!!!

Kwanza shoo ya mbongo/niggas na hao wachina sijui wazungu ni tofauti,.
Sisi sio watu wa kuzalisha vitu / mawazo mapya ndio maana chochote kitokacho West au Far East tunakipokea kama kilivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom