Samawia
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 594
- 458
Namjua baba yangu,ila kutokana sababu ambazo siwezi kuzisema hapa baba yangu akaachana na mama na akanikana mimi milele. Tangu hapo nikaacha kutumia majina ya baba nikawa natumia majina ya mjomba.
Sasa kwenye kitambulisho cha taifa nataka nitumie jina la mama yangu tu.
Samawia Nasm,je inakubalika kisheria?
Sasa kwenye kitambulisho cha taifa nataka nitumie jina la mama yangu tu.
Samawia Nasm,je inakubalika kisheria?