comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,359
- 16,979
Naitwa Comrade, ukiniita kipepe utakua hujakosea! Ukiniita KING OF THE JUNGLE au MAJITU MWITU MSITU"! utakua sawa pia. . wayaaaaaa kama umeme!!!
Ebanaeeee! Napenda sana mwanamke awe ana miguu mizuri, isiwe minene sana, awe na sura nzuuuri, ebanaee na asiiweee chibongeee!
Ebana kwasifa hizo Mimi comrade narizika yani.. Ebaana tz kuna watoto wakali sanaaaa!
Aseee comrade lazima mwaka huu nioe maana ujana hauna mwsho na uzinzi ni dhambi lazima ikifka December niwe na mke mzuri mithili ya miss world
Ohhoooo Dada zangu mnakula nini miaka hii mbona wazuri hiviiiii????!
Ebanaeeee! Napenda sana mwanamke awe ana miguu mizuri, isiwe minene sana, awe na sura nzuuuri, ebanaee na asiiweee chibongeee!
Ebana kwasifa hizo Mimi comrade narizika yani.. Ebaana tz kuna watoto wakali sanaaaa!
Aseee comrade lazima mwaka huu nioe maana ujana hauna mwsho na uzinzi ni dhambi lazima ikifka December niwe na mke mzuri mithili ya miss world
Ohhoooo Dada zangu mnakula nini miaka hii mbona wazuri hiviiiii????!