Mimi napenda miguu na sura je wewe??

Mimi napenda miguu na sura je wewe??

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
8,359
Reaction score
16,979
Naitwa Comrade, ukiniita kipepe utakua hujakosea! Ukiniita KING OF THE JUNGLE au MAJITU MWITU MSITU"! utakua sawa pia. . wayaaaaaa kama umeme!!!

Ebanaeeee! Napenda sana mwanamke awe ana miguu mizuri, isiwe minene sana, awe na sura nzuuuri, ebanaee na asiiweee chibongeee!

Ebana kwasifa hizo Mimi comrade narizika yani.. Ebaana tz kuna watoto wakali sanaaaa!

Aseee comrade lazima mwaka huu nioe maana ujana hauna mwsho na uzinzi ni dhambi lazima ikifka December niwe na mke mzuri mithili ya miss world

Ohhoooo Dada zangu mnakula nini miaka hii mbona wazuri hiviiiii????!
 
Naitwa Comrade, ukiniita kipepe utakua hujakosea! Ukiniita KING OF THE JUNGLE au MAJITU MWITU MSITU"! utakua sawa pia. . wayaaaaaa kama umeme!!!

Ebanaeeee! Napenda sana mwanamke awe ana miguu mizuri, isiwe minene sana, awe na sura nzuuuri, ebanaee na asiiweee chibongeee!

Ebana kwasifa hizo Mimi comrade narizika yani.. Ebaana tz kuna watoto wakali sanaaaa!

Aseee comrade lazima mwaka huu nioe maana ujana hauna mwsho na uzinzi ni dhambi lazima ikifka December niwe na mke mzuri mithili ya miss world

Ohhoooo Dada zangu mnakula nini miaka hii mbona wazuri hiviiiii????!
Tayari uzi eee
 
Mwanamke awe na sura nzuri umbo zuri bdo haikamilishi sababu ya kudate nae mpk tufanye conversation maana kuna msichana mkishafnya mazungumzo tu unao ebana eeh ni mzuri ndio ila hatuendani kwakweli unless you just F**ing for fun
 
Haya nasubiria
Hiyooo
Nadia-Buari-640x448.jpeg
 
Ohooo sawa
Mwanamke awe na sura nzuri umbo zuri bdo haikamilishi sababu ya kudate nae mpk tufanye conversation maana kuna msichana mkishafnya mazungumzo tu unao ebana eeh ni mzuri ndio ila hatuendani kwakweli unless you just F**ing for fun
 
Back
Top Bottom