Tukumbushane kidogo ghetto time!

Tukumbushane kidogo ghetto time!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,107
Ghetto kuna visanga!nakumbuka wakati nakaa ghetto basi nilikuwa nimepanga chumba maeneo Fulani karibu kabisa na town basi nikajikuta ghetto masela kama wote na wapita njia ndio usiseme!unajikuta sometimes kwenye kitanda cha futi 4 mnalala hadi MTU sita na mnaenea na panachuka!
Basi washkaji wa tatu ndio wakaamia kabisa na kuwafukuza nikashindwa!bahati nzuri mwenye nyumba alikuwa sio mtata!
Kila mshkaji nikamkabidhi funguo yake ili kuondoa usumbufu wa hapa na pale!

Sasa kimbembe kilikuwa kulipa kodi hata nifulie vipi kila MTU anadai hana pesa Mzee najituma mishe zangu nalipa mwenyewe!
Kumbuka hapo ghetto kila kitu ni changu!
Basi washkaji full kuleta Mademu kila time yaani wanasubiriana foleni!na mashuka no kufuliwa full kulalia NY****G**!
Nilivumilia mwaka mzima nikaona isiwe tabu maana kuhama mitaa ile karibu kabisa na town haiwezekani na washkaji kila nikiwaambia wajipange watafute maghetto hawana habari ni full kuhonga tu Mademu na kwenda viwanja vikali!

Sasa siku nikawaamulia tu nikabadilisha kitasa pia nikaweka na Bonge la kufuli!nikaenda kujipa likizo sehemu Fulani wiki nzima!
Hadi narudi kila MTU alikuja tu kuchukua begi lake nyambavu
 
mimi nilipokua chuo nilikua nawaacha tu marafiki waje gheto ila hakuna kulala....nilikua nawaruhusu kwasababu ndani nilikua nanunua kila kitu halafu naona kabisa peke yangu siwezi kuvitumia muda mwingine mpaka vinaharibika so nilikua nawakaribisha ili tuvimalize zen wanaondoka makwao
 
mimi nilipokua chuo nilikua nawaacha tu marafiki waje gheto ila hakuna kulala....nilikua nawaruhusu kwasababu ndani nilikua nanunua kila kitu halafu naona kabisa peke yangu siwezi kuvitumia muda mwingine mpaka vinaharibika so nilikua nawakaribisha ili tuvimalize zen wanaondoka makwao
Una bahati hawakuhamia kabisa!hahaaaa
 
Ghetto kuna visanga!nakumbuka wakati nakaa ghetto basi nilikuwa nimepanga chumba maeneo Fulani karibu kabisa na town basi nikajikuta ghetto masela kama wote na wapita njia ndio usiseme!unajikuta sometimes kwenye kitanda cha futi 4 mnalala hadi MTU sita na mnaenea na panachuka!
Basi washkaji wa tatu ndio wakaamia kabisa na kuwafukuza nikashindwa!bahati nzuri mwenye nyumba alikuwa sio mtata!
Kila mshkaji nikamkabidhi funguo yake ili kuondoa usumbufu wa hapa na pale!

Sasa kimbembe kilikuwa kulipa kodi hata nifulie vipi kila MTU anadai hana pesa Mzee najituma mishe zangu nalipa mwenyewe!
Kumbuka hapo ghetto kila kitu ni changu!
Basi washkaji full kuleta Mademu kila time yaani wanasubiriana foleni!na mashuka no kufuliwa full kulalia NY****G**!
Nilivumilia mwaka mzima nikaona isiwe tabu maana kuhama mitaa ile karibu kabisa na town haiwezekani na washkaji kila nikiwaambia wajipange watafute maghetto hawana habari ni full kuhonga tu Mademu na kwenda viwanja vikali!

Sasa siku nikawaamulia tu nikabadilisha kitasa pia nikaweka na Bonge la kufuli!nikaenda kujipa likizo sehemu Fulani wiki nzima!
Hadi narudi kila MTU alikuja tu kuchukua begi lake nyambavu
duuuh noma, me naonaga tu. ila matamu yanakuwaga ya wanawake.
 
Ghetto kuna visanga!nakumbuka wakati nakaa ghetto basi nilikuwa nimepanga chumba maeneo Fulani karibu kabisa na town basi nikajikuta ghetto masela kama wote na wapita njia ndio usiseme!unajikuta sometimes kwenye kitanda cha futi 4 mnalala hadi MTU sita na mnaenea na panachuka!
Basi washkaji wa tatu ndio wakaamia kabisa na kuwafukuza nikashindwa!bahati nzuri mwenye nyumba alikuwa sio mtata!
Kila mshkaji nikamkabidhi funguo yake ili kuondoa usumbufu wa hapa na pale!

Sasa kimbembe kilikuwa kulipa kodi hata nifulie vipi kila MTU anadai hana pesa Mzee najituma mishe zangu nalipa mwenyewe!
Kumbuka hapo ghetto kila kitu ni changu!
Basi washkaji full kuleta Mademu kila time yaani wanasubiriana foleni!na mashuka no kufuliwa full kulalia NY****G**!
Nilivumilia mwaka mzima nikaona isiwe tabu maana kuhama mitaa ile karibu kabisa na town haiwezekani na washkaji kila nikiwaambia wajipange watafute maghetto hawana habari ni full kuhonga tu Mademu na kwenda viwanja vikali!

Sasa siku nikawaamulia tu nikabadilisha kitasa pia nikaweka na Bonge la kufuli!nikaenda kujipa likizo sehemu Fulani wiki nzima!
Hadi narudi kila MTU alikuja tu kuchukua begi lake nyambavu
dah nimekatazwa kuhama home kuishi geto eti mtoto wakike..sasa nilisoma ili iweje
 
Tulikuwa walevi kama wote chumba kimejaa chupa za nyagi vumbi kama lotee kuna godoro tu na ndoo tunakulala kwa mama ntilie kunanuka balaa maana wahuni wengine wakilewa walikuwa wanajikojolea kila mtu na begi lake la nguo lakini sometimes muhun anachukua shati lako anatumia first semester ktk chuo Fulani maharufu morogoro


Wazee wa downtown, zebra pitia hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom