Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari wakuu Kuna binti alikuja home miezi kadhaa nyuma baada ya kumaliza O level kwa ajili ya maandalizi ya Advance kwani alifaulu Sasa baada ya kuzoeana alianza kuonesha interest tofaut tofaut...
2 Reactions
147 Replies
11K Views
Tuwe makini na wapenzi wetu,wengine huwa wanagundu...ukishakuwa naye tu, mawazo yako yote ya kimaendeleo yanafutika;kama ulikuwa unataka kuanzisha kiwanda kidogo,wazo linapotea na kujikuta...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Huu ni ushauri wangu wa bure kwa kina dada. Mwanamke unapaswa kuepuka haya makosa ambayo hua mnayafanya bila kutegemea au kwa kudhamiria na mwisho wa siku wengi wenu huishia kulia. Haya ndio...
5 Reactions
11 Replies
4K Views
Kichwa cha habari hapo juu chahusika, natafuta kujua kama kuna vyakula ama vinywaji ,vinavyofaa kutumiwa na wapenzi muda mfupi kabla ya kushiriki katika tendo la "mapenzi",au "mahaba"ikiwa vyakula...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za muda huu Jamii forums. Kuna Baadhi ya mambo ambayo kwa Upande Wangu naviona vya kawaida sana lakini nashangaa watu wengine wakikisifia kitu ambacho nakiona cha kawaida hii inanipa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
SIMU/WHATSAPP: 0768571786 Ilikua asubuhi nzuri sana iliyojaa uchangamfu wa aina yake. Hali ya hewa ilikua rafiki kwa kila mtu, mawingu mazito yalitanda anga zima la jiji la Dar es salaam na...
1 Reactions
2 Replies
947 Views
Kuna wanaume ambao kiuhalisia wao huchukua kila mwanamke ili mradi tu kuwa ni mwanamke. na wanawake ambao pia hawana vigezo. hili ni tatizo. rafiki yangu "mashaka' yeye husema kwake hasa akiwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu habarini Nina dem tuna kama miezi mitatu sasa, kipindi cha nyuma alikua akinisisitiza sana kutumia kinga kila tulipokutana kwa ajili ya mgegedo na nilifanya hivo.ila Kwa kipindi cha week...
8 Reactions
110 Replies
12K Views
Yaani ni inamtaka babake kila dakika, hadi sasa nimesema kama noma na iwe noma. Mwenzangu nivumilie tu bado miezi 4 nitashusha inshaallah. Mtoto wa mwenzio ni mwanao.
4 Reactions
225 Replies
21K Views
Nimepata wazo leo wakati tukiwa tumejumuika vijana kikundi kidogo cha wakazi wa K-Nyama, tukizungumza na kupeana ushauri kuhusu maswala ya ndoa na nimeona nishirikishe moja ya ushauri wangu humu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nmeanza kudate naye miezi kadhaa sasa. Ni dada mzuri kwa sifa zote za uzuri na rangi yake ya usafi...she is beautiful. Shida kubwa. ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku...
4 Reactions
34 Replies
6K Views
Katika maisha Haya Ya Mahusiano, Nimejaribu Sana kwa Muda Mwingi Kuchunguza Swala La *Mahusiano ya Mume na ndugu zake Baada Ya ndoa* Na, Mahusiano ya Mke na ndugu zake Baada ya ndoa. Kitu...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu miezi km mitatu iliyopita nilikumbwa na janga kidogo liharibu ndoa yangu. Ilikua hivi: Mi nakaa mbali kidogo na mke wangu, na mke wangu anafanya kazi Dar. Sasa sisi wanaume wa Kolomije huwa...
12 Reactions
30 Replies
5K Views
Ijumaa hiyo....tunaelekea kuanza w/kend tukatembelee wapi?Popote pale ulipo elekeza eneo zuri la kutembelea w/kend hii....
0 Reactions
24 Replies
2K Views
SALAAM WAKUU. *Aisee moyo mashine wazee!!! ♡Kwanza nilikuwa siamini kama bado kuna watu wanazimia kwa stress za fumanizi. ☆Kuna jamaa yangu (tunafanya kazi pamoja) nilipigiwa simu j.3 jioni...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Asee nilikuwa na ka demu kangu pale TPSC Tabora, mwaka 2010 kakawa kanafanya graduation, akanipa invitation, Baada ya kufika tukasherehekea na jioni kuna ukumbi wa zamani mbele ya chuo, wenyewe...
6 Reactions
45 Replies
12K Views
Mke wangu amekua akisifiwa sana na mashost zake mpaka dada zake eti mumeo handsome afu Mimi nikijicheki najiona wakawaida tu lakin kumbe wakiniona wanalowesha chupi kudadeki
6 Reactions
46 Replies
4K Views
. . . . . . . . .
10 Reactions
125 Replies
12K Views
hii inaua kuamiliana. kama alikuchepusha kabla hajakuoa nini kimzuie asichepuke ukiwa ndoani.
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…