Ushauri

Ushauri

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
39,778
Reaction score
61,438
Tuwe makini na wapenzi wetu,wengine huwa wanagundu...ukishakuwa naye tu, mawazo yako yote ya kimaendeleo yanafutika;kama ulikuwa unataka kuanzisha kiwanda kidogo,wazo linapotea na kujikuta unatumia hadi mtaji uliokuwa nao, kwa matumizi ya kawaida.Nasisitiza ili tufanikiwe zaidi tuwapende wapenzi wabahili wasioshawishika na vitu vya anasa anasa ili kutimiza ndoto zetu.
 
Huu mwaka wa tanzania ya viwanda wanawake lazima mtafute pa kukimbilia mana mukienda mkirud munalo
 
Duuh jamani wakati mwingine mnajisau wenyewe na mambo ya dunia hii mnasingizia watoto wa watu..
 
Duh Dunia yaleo utampata wapi mwanamke bahili mzee

NB: kuanzisha mahusiano mapya nacho nikiwanda kwahiyo usijali mleta mada
 
Back
Top Bottom