Ndoa ya bi ange kagame na bwana bertrand

Ndoa ya bi ange kagame na bwana bertrand

scolastika

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,863
Reaction score
5,736
Jana binti yake na kagame aliolewa picha zinaonesha .lakini hapa kilichonivutia zaidi n kimo cha mkwewe kagame bw.betrand ,kwa anajemjua kagame n mrefu haswaaa sasa hyu mkwewe kamzid tena najaribu kuimagine sipat pcha
Turud kwetu kila mtu huwa anaupendeleo binafsi sipendi watu wafupi sitak kuelezea sana,sitak povu na uzi tyari
FB_IMG_1562755428769.jpg
FB_IMG_1562755424053.jpg
 
Kagame is overwhelmingly short!

I think those kids,some of 'em nadhani kuna bodyguard walimsaidia aisee!
 
Naomba japo picha yako mwaya...! Inaonyesha utakuwa twiga kama mie ati.
Hapana m wa wastani,yaan kwetu kuanzia babu zangu walikuwa twiga sasa babu yangu alioa bibi ambaye n mfupi tena ile dominant,sasa kuja kwa sie wajukuu tukaanza kupungua urefu(ikumbukwe baba na mama n warefu)sis watoto kimo kikaanza kupungua,ila mtu mrefu anavutia bhana
 
Hapana m wa wastani,yaan kwetu kuanzia babu zangu walikuwa twiga sasa babu yangu alioa bibi ambaye n mfupi tena ile dominant,sasa kuja kwa sie wajukuu tukaanza kupungua urefu(ikumbukwe baba na mama n warefu)sis watoto kimo kikaanza kupungua,ila mtu mrefu anavutia bhana

Yeah, what you are saying is true my dear. Hata mwanamke akiwa na umbo flani refu hivi anavutia sana kwa kweli.

I wish japo nikuone mwaya. 🙈
 
Hapana m wa wastani,yaan kwetu kuanzia babu zangu walikuwa twiga sasa babu yangu alioa bibi ambaye n mfupi tena ile dominant,sasa kuja kwa sie wajukuu tukaanza kupungua urefu(ikumbukwe baba na mama n warefu)sis watoto kimo kikaanza kupungua,ila mtu mrefu anavutia bhana

Wakati unaongelea urefu mkuu unatakiwa utaje kimo chake kwa numbers kabisa!

Hii kusema babu alikua mrefu,sijui blah blah,mrefu mpaka wapi?

Huenda urefu kwako wewe ni ufupi kwangu mimi!

Sema hivi babu alikua around 7’2” au mama alikua 6’2”,etc

Taja namba kabisa ili tukupimie huenda ukawa unadanganya...

Maana kwa Tanzania walio above 7’0” wanajulikana ni watatu tu,sasa unaweza kua unatupeleka uongoni tukakushika tu kirahisi

Kiroho safi tu!
 
Back
Top Bottom