Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,281
- 7,474
Hii tabia ya kuweka hela kwenye vifua vyenu(matiti) siyo njema, inakera na inatia kinyaa sana NA PIA INACHAKAZA NOTI. Unakuta unamlipa mwanamke pesa anaikunjakunja anaitia kifuani na chenchi anakutolea hukohuko maziwani ikiwa imeloa mijasho na kutoa harufu..... INAKERA SANA HII TABIA.