Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,154
Mchumba alishaoa ndoa ya Roma na kupata watoto. Wameachana na mke na watoto ni wakubwa. Changamoto iliyopo
1. Ndoa ya Roma haina talaka nitaweza kuolewa na huyu mwanaume?
2. Bado anazaa pete ya ndoa hii imekaaje?
.
1. Ndoa ya Roma haina talaka nitaweza kuolewa na huyu mwanaume?
2. Bado anazaa pete ya ndoa hii imekaaje?
.