Jackson matthew
Senior Member
- Jun 26, 2026
- 129
- 294
Urembo tumo, Serikalini tumo, Maendeleo yapo juu kuliko Uchagani. Wachaga msijisheue hamuisomi namba kwa Msukuma.
Wasukuma wanajua kupika nn msee ??Mimi sio msukuma wala mchaga lakini kwa upande wa msukuma kinacho mponza ni ushamba tu lakin mengne yote yupo fresh. Tukija kwa akina mangi shda kibao, kwanza hawajui kupka, wapenda misifa hata pasipo, kujifanya wanajua na huku hawajui
Ugali mgumu kama kichwa Cha benteke.Wasukuma wanajua kupika nn msee ??
Hapo sasa halafu mapishi ni ubunifu na sio kukariri 1+1=2 wakati 0+2=2Ugali mgumu kama kichwa Cha benteke.
Yeah!Hapo sasa halafu mapishi ni ubunifu na sio kukariri 1+1=2 wakati 0+2=2
Mbwa akijikwaa lazima avunjike mguu.Ugali mgumu kama kichwa Cha benteke.
Mie sio mchagga wala msukuma.....niseme wachagga hawajakaa kinyonge hata kidogo! Walianza kueleimika zamani hata sasa wanampiga fimbo msukuma, mikato ya kijanja msukuma bado saana labda sana sana wasukuma wana ule uzito wa akili yaani wazitooo hata kufanya maamuzi...msukuma kwenye kupika labda kusonga ugali mgumu wanaweza kitu ambacho binti wa kichagga hawezi😆😆Mimi sio msukuma wala mchaga lakini kwa upande wa msukuma kinacho mponza ni ushamba tu lakin mengne yote yupo fresh. Tukija kwa akina mangi shda kibao, kwanza hawajui kupka, wapenda misifa hata pasipo, kujifanya wanajua na huku hawajui
Yes. Akiaung'ata ugali lazima avunjike meno.Mbwa akijikwaa lazima avunjike mguu.
We ni kabila gani? Ukinidanganya nitajua tu. 😎Mie sio mchagga wala msukuma.....niseme wachagga hawajakaa kinyonge hata kidogo! Walianza kueleimika zamani hata sasa wanampiga fimbo msukuma, mikato ya kijanja msukuma bado saana labda sana sana wasukuma wana ule uzito wa akili yaani wazitooo hata kufanya maamuzi...msukuma kwenye kupika labda kusonga ugali mgumu wanaweza kitu ambacho binti wa kichagga hawezi😆😆
ndo wenye afya huo ukila unapata nguvu unakuwa kama jet liUgali mgumu kama kichwa Cha benteke.
Anhaa! Ndiyo maana mabinti wa kule wana vigimbi kumshinda Jack Greelish.ndo wenye afya huo ukila unapata nguvu unakuwa kama jet li