Umewaza tu,ni hadithi umeitoa sehemu au unawaandaa watu kisaikolojia?jamaa kakuta mkewe akipigia msela simu huku akimwelezee anavyomzimia.jamaa kapandwa na hamaki kavunja simu ya mkewe. bila kupoteza mda jamaa kamchoma mkewe beto ya tumbo nakumuua.jamaa sasa anasakwa na vyomb vya dola