Hello, Naitwa Sandra, Nipo New York, nampenda mume wangu Sana, naweza kufanya chochote ili nimridhishe na kumfurahisha.. Lakini hivi karibuni, nimetokea kumpenda binamu wa mume wangu.. Tena...
Wana Jukwaa mpo?
Dunia inaenda kasi sana hawa viumbe aka wanawake wamekua na viburi sana. Wanawake wa sikuhizi ukiishi nae kwa kumlambalamba atakusumbua yaaani wanataka uwe unachapa vibao na fimbo...
Habari wakuu, natumaini siku ya leo inaenda vyema, katika mizunguko yangu ya siku ya jana nilikutana na dada mmoja hotelin katika maongezi ya hapa na pale nikamuuliza swali umeolewa au boyfriend...
Natumain mpo salama,
Nnamchumba wangu ambay tuna miezi mi 5 kwenye mahusiano yetu,majuz aliniacha na kusema hatak tena mahusiano, hatukua na ugomv ingaw ni mda nlishaon mapenz yamepungua toka...
Kwa nyakati tulizopo,wanaume tusipende wake za watu wala wanawake wasipende waume za watu hii ni kwa afya ya kuishi miaka mingi yenye amani na furaha tele.Ridhika na uliyenaye...kama ni gogo huyo...
Mapenzi ni kitu cha Ajabu sana. Mapenzi yaweza kumea mahala popote bila kujali lolote.
Compaund ambayo nakaa ina Nyumba 4 zote ni za kupangisha. Tumepanga watu tofauti kila mmoja na shughuli yake...
Wakuu siku nyingi nimekuwa nikitamani hii kitu, Siku ya Jumanne ya tar16/07/2019 ndio siku
Nimechukua hatua hiyo. Tofauti na nilivyofikiria mapokezi yalikuwa mazuri na tuliandaliwa
chakula pale...
Aisee Katika manzi nnazozi'feel ni hii mamilox inayoitwa Halima Mdee,Halima Mdee Nampenda laana,yaani hata atembee na Machalii elfu18 mimi ntakua wa elfu19 Bablae,Yaani hata azeeke ntamwekea Picha...
habari wadau..
naona lawama nyingi kwa wanawake nowdays..
kwa ufupi tu wanaume tunapaswa tukubali ukweli maisha yamebadilika, na wanawake hawajaumbwa kuhangaika.. kwa hiyo wanahitaji security...
Binafsi nina miaka 30-34 naishi dar
Elimu yangu ni shahada ya kwanza
Dini ni mkiristo
Ninahitaji mwanamke ambae atakuwa mke wangu wa ndoa awe mkiristo kama mimi na umri kuanzia 24-26 asiwe na...
Sijui nina shida gani ila nahisi nina matatizo ya kisaikolojia.Nina tabia ambayo naiona siyo ya kawaida nikijilinganisha na vijana wa rika langu.Huwa siwezi kuwa kwenye mahusiano na Mwanamke...
By MarketWatch
The richer you are, apparently, the better sex you have. That's according to a recent survey of more than 600 high-net-worth individuals. And rich women, it seems, enjoy sex the...
Wajomba kwa mara nyingne tena nawaomba ushaur,kuna ndoa zingne znaanzaga huku mke akiwa na mtoto tayar na ndoa zingne wanaanza wote wakiwa hawana watoto baadae wanapata lakn huwa inatokea wanandoa...
Unajua kuna wanawake wengine wanakupiga mizinga ya hapa na pale sometimes inaweza kuwa kukupima ama tamaa ama kukukomoa!
Unachotakiwa kufanya mwanawane siku akikupa papuchi hakikisha unaipiga hadi...
1. Hauwezi kumpenda mtu ambae yeye mwenyewe hajipendi.
2. Mtafute MUNGU kisha tafuta mwanamke bora. Ukiwa na hayo mambo mawili, suala la hali ngumu ya uchumi binafsi (financial freedom)...
Rafiki yangu kasafiri, shemeji kanitumia text kua kuna dharula home, nimeenda, nimekuta yuko pekeake na watoto wako church yeye kadai hayuko vizuri. Chaajabu shemeji anaeleza et alikua anapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.