Heri ya pasaka wakuu.
Nimerudi tena ndugu yenu, jaman najihisi Nina pepo LA ngono maana ninayopotia Mungu mwenyewe anajua.
Nilikuja hapo awali kuomba ushauri kuhusu yule jamaa wa Muheza niliekua...
Najua huwezi kumzidi kura mkeo; kura za nani ni bora kati ya baba na mama, lakini angalau ukaribiane nae kidogo kura kuliko kupata sifuri. Mwanamke (mama) hujizolea kura zote za Upendo kwa watoto...
Nilikutana na mrembo mmoja disco vumbi akiwa stejini anasakata rumba kama kawaida mzunguko mwenye dau kubwa ndo anacheza na demu, nikakata mshiko pale nikaanza kudansi na mrembo huyo huku nachana...
Hili ni shairi nililowahi kulisoma nikiwa advanced level miaka hiyo. Ni shairi lililopo katika diwani ya chungu tamu iliyoandikwa na Theobald Mvungi (1985)
Yaani wanamke anataka waungwana...
Habarini wana jf wote hususani mliopo kwenye ukurasa huu wa love connect
Moja kwa moja nizame kwenye maada
Nina umri wa miaka 28 elimu nimehitihu shadaha ya kwanza(degree) Dini ni mkristo pia...
Wakuu naomba kujuzwa..hivi mwanamke anaweza kukaa miezi sita au saba au hata mwaka hajatiwa kweli? Inawezekana kweli akakaa muda wote huo bila kugegedwa na akawa normal? Nawaza tu mana mshikaji...
Wakuu Kwanza niwaombe samahan kwa wale niliowakwaza kwa namna 1 na nyingine.
Pili Jana nililala ndani lakini cha Ajabu saiv najikuta nipo nje sijui kwa nini.. Kwa wale Wachungaji na wenye mizizi...
Kwa Mara nyingine tena nasafiri kikazi naenda Brazil mimi ni mtanzania msomi kweli kweli.. Tafadhali ninamwacha mke wangu mpya kabisa wale wa mtaa wa masaki nyumba namba 504 HKF/4 msiende pale...
Weekend ya jana niliona nitoke kupiga mbili tatu usiku nikaopoa demu, nikapiga misuli ya maana asubuhi baada ya pombo kunikata demu yupo kitandani hajiwezi kuchungulia nikakutana na hii makitu...
SEHEMU YA 2.
Na Joachim Mkwawa
[emoji2398]Rejesha Mahusiano Yaliyovunjika.
Habari mpendwa;
Natumai umzima wa afya.
Karibu na uungane nami tena leo katika mada yetu na leo tupo sehemu ya 2...
Hii kitu nimenote sana kwa wapenzi wangu niliokuwa nao kwenye mahusiano zaidi ya miezi 6 na kuendelea, achana na hao ninaowala na kuwaacha kwa siku moja au wiki,
Wengi wao huwa wanaumia sana...
Katika kujifunza nilijaribu kupitia 'youtube' nikawa naangaliwa namna wanajeshi wa marekani wanavyopokelewa na wapenzi wao/familia baada ya kutoka huko walikodumu kwa kufanya kazi (nje ya nchi...
Kisasi kilichobora kuliko vyote ni kutokulipa kisasi kabisa.
Ni kutokumfugia chuki wala hasira kwa sababu kwa kufanya hivo itakufanya uendelee kumfatilia na kuzidi kuumia.
Kisasi kizuri ni kuamua...
Kwa nini tunapenda kulala na watu tusiowajua kiundani?Kwa mfano mwanaume/mwanamke unakutana na mpenzi wako ambaye sio mkeo au mume,kwa bahati mbaya mauti inamkuta akiwa kwako au mkiwa naye nyumba...
Hello, Naitwa Sandra, Nipo New York, nampenda mume wangu Sana, naweza kufanya chochote ili nimridhishe na kumfurahisha.. Lakini hivi karibuni, nimetokea kumpenda binamu wa mume wangu.. Tena...
Wana Jukwaa mpo?
Dunia inaenda kasi sana hawa viumbe aka wanawake wamekua na viburi sana. Wanawake wa sikuhizi ukiishi nae kwa kumlambalamba atakusumbua yaaani wanataka uwe unachapa vibao na fimbo...
Habari wakuu, natumaini siku ya leo inaenda vyema, katika mizunguko yangu ya siku ya jana nilikutana na dada mmoja hotelin katika maongezi ya hapa na pale nikamuuliza swali umeolewa au boyfriend...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.