Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,905
- 61,636
Kwa nyakati tulizopo,wanaume tusipende wake za watu wala wanawake wasipende waume za watu hii ni kwa afya ya kuishi miaka mingi yenye amani na furaha tele.Ridhika na uliyenaye...kama ni gogo huyo ni wa kwako,kama hakufikishi kileleni huyo ni wa kwako n.k Mambo yakutafuta wasaidizi ni kuongeza garama ambazo hazina tija pamoja na migogoro isiyo ya lazima.