Wasalaam wana JF.
Ninataka kuoa. Baadhi ya sifa zangu mimi:-
- Elimu ya Chuo kikuu
- Miaka 34
- Kazi nzuri
- Ni mpole kiasi, lakini mkali sana ukinichokoza
Mke ninayemtaka awe na sifa...
zaidi ya asilimia 88% ya wanaume(walio kwenye ndoa) wa Afrika Mashariki na Kati. Ambao hufariki Natural death, vifo vyao vimechangiwa na ndoa zao.
Hawa ndo wanawake wakuwaepuka ukiwa katika...
Hivi huwa mnahisi hao mnaowachamba ktk status updates zenu au fb posts wanasoma...
Okaayy...
Labda kuna mpuuzi umuvurugana nae... Then should we all know...!??
UnakutA tu mtu tanngu asubuhi...
Daaah salama Wananzengo
Huyu mke wangu kila siku anazidi kunenepeana na kutoka kitambi
Baada ya kuzaa mtoto wa pili ndo imekua balaa kila siku anazidi kufumuka tu
Tumbo limekua kubwa yani ana...
Wakuu,
Na uhakika kupitia huu mgogoro unaoendelea kati ya Zari ambaye ni mke halali wa Marehemu Ivan aliyezaa naye watoto watatu, kuna fundisho wadada na wamama watajifunza, tabia hii ya kukimbia...
Some guys will intentionally not put chairs in their rooms so when ever a lady comes to visit him, she will not have an option than to sit on the bed.
Those guys are called ministers of strategic...
Kiukweli kwa sasa Nafanya mapenzi kwa sababu tu dushe limesimama na linaitaji papuchi ya kuikamua ila uhalisia ni kwamba sioni tena ile Ladha ya papuchi niliyokuwa nakutana nayo hapo mwanzo...
Habari wadau?
Mimi nina mpenzi au mchumba wangu ambaye nampenda sana ila tatizo ni kwamba tunaishi mikoa tofauti..
Ukweli ni kwamba nampenda sana na huwa sipendi kumsariti lakini mimi ni mtoto...
Kuna wakati unafika unataka kufanya maamuzi magumu ila ukiwatazama wanao unasikia maumivu makali moyoni kama mtu anauchana moyo wako n'a kiwembe basi unaamua bora siku ziende tu maana huna jinsi...
Jana nimeota ndoto bhana nilikuwa napitapita huku na kule sina ramani mjini sina hata akiba ya kununua apple punch ya jero, katika pitapita zangu nikaona msimbazi yuko chini moja nikaona Mungu si...
Hivi demu hataki kukupa utamu miaka 3 halafu ameshazaa, nikipiga simu hapokei au anajibu Niko bize anakata. Akiwa na shida ya hela anapiga simu.
Halijipendekeza kwangu naona kama ananizibia riziki...
Mchawi mpe sifa zake yule mtoto alikuwa kajaliwa yuko natural na umbo lake zuri la kiafrika, ngozi yake laini na nyororo utadhani haogi maji ya ziwani bali anaoga maji ya Dasani. Tulitembea hatua...
Waungwana wote humu ndani mtakuwa ni mashahidi.
Kwa wale wanaopenda totozi mtaelewa maana ya ninachoongelea hapa na mtaungana na mimi.Kwa wale ambao mbunye kwenu ni kitu adimu basi naamini...
Huyu jamaa wa Kenya amenunulia Zari the boss mother gari aina ya range rover ya mwaka 2017 na amemuomba radhi sana kwa kushindwa kununua gari nyeupe badala yake amepata nyeusi,huyu jamaa hana...
Nitaongelea kwa upande wa wanawake maana nina uzoefu wa kutosha. Sijui kwa upande wetu wanaume...maana sisi tunatafuta wanawake.
Suala la kutafuta mwanamke na ukamkubali walau kwa asilimia...
Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani, sifa awe mkatoliki,yaani Romani Catholic, asiwe na mtoto, asiwe aliwahi kuoa, awe na miaka 32 na kuendelea, anayejiheshim...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.