Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,461
Ingawa ni za kunadika,ila mwanamke ambae ni wife material na anayejielewa hawezi kubadika mauchafu kama haya,ni xhukizo mbele ya mume wake.
Ingawa ni za kunadika,ila mwanamke ambae ni wife material na anayejielewa hawezi kubadika mauchafu kama haya,ni xhukizo mbele ya mume wake.View attachment 1158956View attachment 1158958
Ingawa ni za kunadika,ila mwanamke ambae ni wife material na anayejielewa hawezi kubadika mauchafu kama haya,ni xhukizo mbele ya mume wake.View attachment 1158956View attachment 1158958
Mume wake kakueleza hivyo?
Si angeacha hata kidole kimoja kwa ajili ya kutawadha...... sasa anatawazaje na hiyo mijikucha na anasafishaje papuchi akichororoooMkuu usipoteze muda na kuangaisha Bongo yako wewe usioe wa aina hiyo achana nao,
Wenzio wanaoa ndiyo tulivyotofautiana ukizielewa tofauti zetu kama watu wenye fikra tofauti mitazamo tofauti huwezi kupata tabu
Pia hiyo picha yako so far mbona ni urembo na amependeza kweli, kwa wanawake kwao urembo ni sehemu ya maisha yao Mkuu
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Mkuu usipoteze muda na kuangaisha Bongo yako wewe usioe wa aina hiyo achana nao,
Wenzio wanaoa ndiyo tulivyotofautiana ukizielewa tofauti zetu kama watu wenye fikra tofauti mitazamo tofauti huwezi kupata tabu
Pia hiyo picha yako so far mbona ni urembo na amependeza kweli, kwa wanawake kwao urembo ni sehemu ya maisha yao Mkuu
Si angeacha hata kidole kimoja kwa ajili ya kutawadha...... sasa anatawazaje na hiyo mijikucha na anasafishaje papuchi akichororooo
Mwambie huyo kila mtu anachaguo lake, kama anapenda msuka nywele twende kilioni aoe aachane na hao wabandika kuchaMkuu usipoteze muda na kuangaisha Bongo yako wewe usioe wa aina hiyo achana nao,
Wenzio wanaoa ndiyo tulivyotofautiana ukizielewa tofauti zetu kama watu wenye fikra tofauti mitazamo tofauti huwezi kupata tabu
Pia hiyo picha yako so far mbona ni urembo na amependeza kweli, kwa wanawake kwao urembo ni sehemu ya maisha yao Mkuu
We unaingizaga dole kwa inya?Na kinyeo kinajisafisha chenyewe eti..... mtakua wanawake toleo jipya
Mwambie huyo kila mtu anachaguo lake, kama penda msuka nywele twende kilioni aoe aachane na hao wabandika kucha
na makucha hayo unajitawazajeWe unaingizaga dole kwa inya?
Mi sijui, ila waume zao hawalalamiki so watakuwa wanajisafisha vzr bila shakana makucha hayo unajitawazaje
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Huyo huwezi kumuoa kama unatumia jiko la kuni au mkaa, unachota maji kwa mwenyekiti wa mtaa na inambidi apande daladala kwenda Kariakoo