uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 11,610
- 27,572
Binafsi nina miaka 30-34 naishi dar
Elimu yangu ni shahada ya kwanza
Dini ni mkiristo
Ninahitaji mwanamke ambae atakuwa mke wangu wa ndoa awe mkiristo kama mimi na umri kuanzia 24-26 asiwe na mtoto maana binafsi pia sina mtoto ajiandae kwa ndoa kabisa pale mazungumzo yetu yakiendana.asante
Elimu yangu ni shahada ya kwanza
Dini ni mkiristo
Ninahitaji mwanamke ambae atakuwa mke wangu wa ndoa awe mkiristo kama mimi na umri kuanzia 24-26 asiwe na mtoto maana binafsi pia sina mtoto ajiandae kwa ndoa kabisa pale mazungumzo yetu yakiendana.asante