Bill9
Member
- Jul 21, 2019
- 39
- 119
Kisasi kilichobora kuliko vyote ni kutokulipa kisasi kabisa.
Ni kutokumfugia chuki wala hasira kwa sababu kwa kufanya hivo itakufanya uendelee kumfatilia na kuzidi kuumia.
Kisasi kizuri ni kuamua kuendelea na maisha yako hii itamfanya ashangae kumbe maisha yako bado yako happy baada ya kuachana
Ni rahisi kumlaumu mtu aliyekuumiza kwa sababu ni ngumu kuendelea mbele na maisha lkn hakuna faida katika kulaumu ,songa mbele
Mshukuru Hugo alokuumiza kwa sababu amekupa somo zuri kuelekea your destination, amekufanya umejua nin hupendi ,amekufanya umejua weakness yako na jinsi ya Ku improve.
Mpenzi wako akikuacha sababu huna hela usimnganganie tafuta hela ili ukimpata mwingine asikuache kwa tatzo lilelile
Ni kutokumfugia chuki wala hasira kwa sababu kwa kufanya hivo itakufanya uendelee kumfatilia na kuzidi kuumia.
Kisasi kizuri ni kuamua kuendelea na maisha yako hii itamfanya ashangae kumbe maisha yako bado yako happy baada ya kuachana
Ni rahisi kumlaumu mtu aliyekuumiza kwa sababu ni ngumu kuendelea mbele na maisha lkn hakuna faida katika kulaumu ,songa mbele
Mshukuru Hugo alokuumiza kwa sababu amekupa somo zuri kuelekea your destination, amekufanya umejua nin hupendi ,amekufanya umejua weakness yako na jinsi ya Ku improve.
Mpenzi wako akikuacha sababu huna hela usimnganganie tafuta hela ili ukimpata mwingine asikuache kwa tatzo lilelile