Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Hii kitu nimenote sana kwa wapenzi wangu niliokuwa nao kwenye mahusiano zaidi ya miezi 6 na kuendelea, achana na hao ninaowala na kuwaacha kwa siku moja au wiki,
Wengi wao huwa wanaumia sana pale wanapoona siwafatilii kwa chochote, sishiki simu zao, ata wakipigiwa simu kuongea na watu ambao mimi siwafahamu sifatilii, kuna muda unakuta kabisa wanafanya vitu ili tu waone nimereact lakini mimi I don't care,
Yaani Sijari chochote kutoka kwao kitu pekee ninachofanya ni kuwaonyesha tu ile Real love ya wao kuwa free kwangu lakini siyo mimi kuwafatilia wao,
Hii kitu nimeona inawaumiza sana wanawake lakini inanifanya mimi kuwa free bila stress wala msongo wa mawazo, na wao,huwa wanajiuliza kwa nini inakuwa hivyo au siwapendi wengine huwa wanashindwa kuvumilia wanaamua kuniuliza kwa nini sina wivu nao?
.
Hii kitu nimenote kwamba kumbe wanawake usipowa onyesha Wivu huwa wanaumia sana kuliko ata maumivu ya kukosa Pesa.
Cc Zero IQ
Wengi wao huwa wanaumia sana pale wanapoona siwafatilii kwa chochote, sishiki simu zao, ata wakipigiwa simu kuongea na watu ambao mimi siwafahamu sifatilii, kuna muda unakuta kabisa wanafanya vitu ili tu waone nimereact lakini mimi I don't care,
Yaani Sijari chochote kutoka kwao kitu pekee ninachofanya ni kuwaonyesha tu ile Real love ya wao kuwa free kwangu lakini siyo mimi kuwafatilia wao,
Hii kitu nimeona inawaumiza sana wanawake lakini inanifanya mimi kuwa free bila stress wala msongo wa mawazo, na wao,huwa wanajiuliza kwa nini inakuwa hivyo au siwapendi wengine huwa wanashindwa kuvumilia wanaamua kuniuliza kwa nini sina wivu nao?
.
Hii kitu nimenote kwamba kumbe wanawake usipowa onyesha Wivu huwa wanaumia sana kuliko ata maumivu ya kukosa Pesa.
Cc Zero IQ