Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wakati upo darasa la kwanza ukifanya vizuri wanakuambia oooh subiri darasa la tatu ndio hesabu zinakuwa ngumu, ukifika darasa la tatu unaambiwa darasa nne kuna mtihani wa taifa kuvuka ni issue...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Classical Women wako poa sana, Ila wengi ni wafia dini na hakawii kukubania papuchi ila akaenda kumpa Baba Mchungaji wake. Pia wanapenda sana kushinda Church. Pesa zao nyingi huwa zinaishia...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji mwanamke aje kuwa mke wangu wa maisha mwenye hali kama yangu. *Sifa zangu ni.. 1. Mwajiriwa na nimejiajiri ili kuongeza kujikimu zaidi. 2. Mrefu wa...
1 Reactions
47 Replies
4K Views
Eti wakuu kuna jambo linanitatiza sana, hivi hawa wazee wetu waliwezaje kujenga hizo nyumba, Maana mimi kila nikipata pesa Naishia kukutana na watoto wakali. Cc Zero IQ
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Aisee.. Hili ni jambo gumu. Nilkua na mpenzi wangu tuliodumu miaka 5, sasa amebadilka bila sababu, mawasiliano yamekua adimu kama kaka kuona. Anazima simu hata wiki mbili bila sababu maalum...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Acheni kutupa Sex, Kabla hatujawaoa. Sisi hatupendi hii tabia ila inatubidi tu. Kwa niaba ya @bmp
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hellow wana MMU! salam! asanteni kwa michango yenu ambayo kiukweli kuna zinazofunza kufurahisha na kutoa changamoto! . . kuna hili swala kidogo linanitatiza "mfundishe / mrekebishe" mpenzi wako...
1 Reactions
13 Replies
924 Views
Nawasalimuu wakuu.. Desturi ya kuwasubiri wana ndoa nje ya mlango kufanywa na mtu anayeitwa kungwi. Na bi harusi huwekewa kitambaa cheupe anapoingiliana na mumewe kwa mara ya kwanza ili matone...
6 Reactions
64 Replies
8K Views
Wasalaam, Ni matumaini yangu wote hamjambo na Mungu apewe sifa na utukufu maana vyote ni vyake. Kuna kipindi nilileta uzi hapa kuomba ushauri, wengi walinishauri vizuri sana na kwa asilimia mia...
8 Reactions
93 Replies
8K Views
Amani kwenu wana jamvi na wapitaji. Unakuta una mke ambaye hana hofu ya Mungu, kutwa nzima unashinda na presha eti unachitiwa, kweli? Kama hamuogopi Mungu atakuogopa wewe? Mwingine unakuta...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Naona ule uzi wa kwanza umefutwa, basi ngoja niondoe habari za mizigo ibaki Happy it's already Weekend... Natumai hii haina madhara kama ile iliyofutwa jana... Yaani hii excitement sijui...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mapenzi bila pesa ni kazi bure...tujaribu kutunza zile chenji chenji zinazobaki ili mwisho wa wiki tuwe tunatoka mara moja moja.Tutumie njia hii kutunza chenji zetu.....
0 Reactions
12 Replies
2K Views
mseee wangu, mimi ndimi. eeebana juzi kati hapa nilikua na shemeji yenu mmoja hivi, nikaona nimpeleke kwenye nyumba ya mwanangu mmoja hivi maana kwangu kulikua na wageni, na mimi sio mpenzi wa...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Aiseee,salaaaaaam, Nowadays, hii mambo haina ugumu kabisa,kuoa no kihere here chako tu,au kua na girlfriend permanent is at your own risk. Wewe pendezesha,gharamia,nunulia kasmartphone,weka vocha...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
kuna dem bana tulikua na mahusiano kama miez 5 ivi.asa sijui alipataga mhun wa kumpa hizi chips chips nlishangaa ghafla ananiblock sehem zote tulizokuwa tukiwasiliana,nkaona isiwe kes nkaomba cm...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama nimewahi kugusia katika uzi ulopita kuwa nimejikuta nikimtongoza kwa mwendo kasi mwanamke ambaye kumbe nilikuwa na mahusiano na best yake. Sasa bwana kumbe yule bishost alimwambia rafiki yake...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nina Mjumbe wangu wa Nyumba Kumi huwa anapenda mno Kufanya Mizaha inayokaribia na Ukweli na Mke wa aliyekuwa Mjumbe wetu wa Nyumba Kumi na hupenda Kufanya Mizaha yake hiyo pale tu akiwa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Udictecta Wa Jf Uzi Wangu Umepigwa So Sad[emoji36][emoji36] Hivi hakuna forum nyingine tena ambayo unaweza kuwa alternative ya Jf hapa Tz : Jf imefika muda nahisi anahitaji mpinzani Moderate...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jf.. Hiv ni kweli mtu akishaoa/kuoelewa baadae wakapata mtoto then ndoa ikavunjika je ikitokea mmoja akaoa au kuokewa tena au akapata mahusiano mapya je atakuwa na mapenzi ya dhati kam...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.ilikua mwishon mwa mwez wa 6 nilienda kumtembelea mkubwa angu ambaye n kaka angu anaefanya kaz arusha .sasa sehem alikopanga kuna pia wadada wawili...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…