malisak
JF-Expert Member
- Mar 16, 2006
- 694
- 772
Wanaume wengi wanashindwa kutambua wanawake kwa haraka hasa katika sekta ya tongozo. MWanamke ni kiumbe mmoja ambae ni makini sana na ni mgumu kuonesha hisia zake haraka. Unaweza ukamtongoza akakutukana kabisa au akakupa maneno ya kuumiza ila unatakiwa kumsoma kwanza kabla hujafanya maamuzi ya kukata shauri na kubwaga manyanga.
Sababu kubwa ya sitaki nataka huamini ya kuwa endapo atakujibu haraka haraka ana hofu utamwona muhuni au hana maadili hivyo hubana hisia zake kwako, na pengine usiku halali kwa mawazo juu yako ila kwakuwa kaumbiwa hofu ya kuhisiwa negativity anaona akomae.
Pia wanawake wengi hupenda kubembelezwa na ule usumbufu wanaowapa wanaume wao ndio huhisi kupendwa zaidi au kuna muda huhisi wanaume wanawajaribu na hii inatokana aidha na historia na. n.k.
KWahiyo wanaueme mjifunze kuwasoma kwanza kabla hamjajingiiza mwanamke akikupenda kumjua ni rahisi sababu ya aibu na sitaki nataka zake na huyo huenda ikawa ni bora sina uhakika. Ila mwanamke mwengine anaweza kuwa mwepesi kukukubalia haimaniishi ni muhuni ila mwengine akipenda mtu haoni sababu ya kumzungusha. So muombe Mungu akupe jicho la tatu la kumwona kiundani zaidi unless unataka hit and run.
Sababu kubwa ya sitaki nataka huamini ya kuwa endapo atakujibu haraka haraka ana hofu utamwona muhuni au hana maadili hivyo hubana hisia zake kwako, na pengine usiku halali kwa mawazo juu yako ila kwakuwa kaumbiwa hofu ya kuhisiwa negativity anaona akomae.
Pia wanawake wengi hupenda kubembelezwa na ule usumbufu wanaowapa wanaume wao ndio huhisi kupendwa zaidi au kuna muda huhisi wanaume wanawajaribu na hii inatokana aidha na historia na. n.k.
KWahiyo wanaueme mjifunze kuwasoma kwanza kabla hamjajingiiza mwanamke akikupenda kumjua ni rahisi sababu ya aibu na sitaki nataka zake na huyo huenda ikawa ni bora sina uhakika. Ila mwanamke mwengine anaweza kuwa mwepesi kukukubalia haimaniishi ni muhuni ila mwengine akipenda mtu haoni sababu ya kumzungusha. So muombe Mungu akupe jicho la tatu la kumwona kiundani zaidi unless unataka hit and run.