July Ernest
Member
- Aug 6, 2019
- 25
- 12
excuse me wakuu,
Nina wakati mgumu coz huwa ninatongozwa na wasichana mpaka sasa wanne hivi kwa nyakati tofauti hao ndi nimekua nao kwenye mahusiano, ila sasa ninaowataka mimi siwapati huwa nikiwaambia ukweli wananiweka pending et tutakufikiria. na mim nikiambiwa hivyo huwa nakata tamaa simfatilii tena. asa sielewi nakosea wapi au nikipi sijafanya ama niwapi unahisi nakosea. na hao wanaonitongoza huwa sidumu nao wananileteaga zalau na majibu ya ovyo.
Nina wakati mgumu coz huwa ninatongozwa na wasichana mpaka sasa wanne hivi kwa nyakati tofauti hao ndi nimekua nao kwenye mahusiano, ila sasa ninaowataka mimi siwapati huwa nikiwaambia ukweli wananiweka pending et tutakufikiria. na mim nikiambiwa hivyo huwa nakata tamaa simfatilii tena. asa sielewi nakosea wapi au nikipi sijafanya ama niwapi unahisi nakosea. na hao wanaonitongoza huwa sidumu nao wananileteaga zalau na majibu ya ovyo.