Amri juu ninawapa mmpendane

Amri juu ninawapa mmpendane

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,637
Reaction score
220,408
Hii amri ukiisikia unaweza kuona ni ndogo lakini ni kubwa sana. Mpendane kama nilivyowapenda mimi. Inamaana tukipendana hatuta; ibiana, sema uongo, tamani wake na waume wa wengine, sengenyana, logana, oneana wivu nk.

Nilijaribu kupenda walionizunguka kama ninavyojipenda mimi. Ni ngumu lakini athari zake zinauma zaidi. Maumivu ya mtu uliempenda kama nafasi yako akijusengenya inauma kuliko kusengenywa na Tom and Harry.

Nisikiavyo huko mbinguni haya ndiyo maisha wanayoishi waliofanikiwa kupata mwaliko wa karamu. Ni upendo wa agape masaa 24 na kumtukuza Mungu.
 
Hii amri ukiisikia unaweza kuona ni ndogo lakini ni kubwa sana. Mpendane kama nilivyowapenda mimi. Inamaana tukipendana hatuta; ibiana, sema uongo, tamani wake na waume wa wengine, sengenyana, logana, oneana wivu nk.

Nilijaribu kupenda walionizunguka kama ninavyojipenda mimi. Ni ngumu lakini Catharine zake zinauma zaidi. Maumivu ya mtu uliemoenda kama nafasi yako akijusengenya unauma kuliko kusengenywa na Tom and Harry.

Nisikiavyo huko mbinguni haya ndiyo maisha wanayoishi waliofanikiwa kupata mwaliko wa karamu. Ni upendo wa agape masaa 24 na kumtukuza Mungu.
Amri kuu kuliko zote ni upendo!
 
Usichopenda kufanyiwa, usimfanyie mwenzio. Wangapi tuko hivyo. Kama hata viongozi wetu wanaojiita wa dini ni "mashetani", nani atasalimka siku ya hukumu!
Tumesahau kuwa duniani tunapita tu, madaraka na mali tutaviacha. Upendo unanguvu sawa na moto, jinsi moto unavyoivisha chakula na kuua vijidudu vinavyokushambulia.
 
Wife nilikushauri upunguze wine ukagoma... ona sasa..
Pods = Mods
Mnisudue = mnisaidie

Nimekusahihisha kwa upendo kama amri inavyonitaka.

Shkamoo mke
Hubby hizi wine uwe unaangalia volume kabla hujaninunulia, ninakunywa glass moja tu kumbe volume ni 14%
 
Hahahhh ni ile device ya tunda la apple huwa inauchokozi utakuta umeandika ndivyo sivyo
Upo hivi kumbe
Shikamoo ya mwaka jana na mwaka huu mupiya.
Kumbe tena? Khaa!

Afu kuna mtu alinidanganya umenipotezea mazima.. .. kumbe bado unanipenda.

Marahaba ya mwaka kesho. Usisahau kunipa kura yako mwakani. Nimepanga kuwa kiongozi wako.
 
Hubby wagimbea kinyang’anyiri sasa hivi wameanza upendo wa agape. Wanaweza kukulipia hata shopping yako kwa Mangi.
 
Inanishangaza sana kuona baadhi ya Watanzania wenye chuki za kutisha kwa Watanzania wenzao ambao wanatumia haki yao ya kikatiba kama Watanzania/Wabunge kuikosoa serikali.
 
Inanishangaza sana kuona baadhi ya Watanzania wenye chuki za kutisha kwa Watanzania wenzao ambao wanatumia haki yao ya kikatiba kama Watanzania/Wabunge kuikosoa serikali.
Haki ya Katiba iko mfukoni mwa jiwe apparently.
 
Kumbe tena? Khaa!

Afu kuna mtu alinidanganya umenipotezea mazima.. .. kumbe bado unanipenda.

Marahaba ya mwaka kesho. Usisahau kunipa kura yako mwakani. Nimepanga kuwa kiongozi wako.
Hahah Sky Eclat ametuagiza tutii Amri aliyotuachia 'Tupendane tuzidishe Upendo'
Kura yangu umeipata na kampeni nitakusaidia kupiga domo kaya!
 
Hivi madame, have you ever noticed kwamba unaweza kuwa unaongoza kwa kuwaomba mods wabadili heading?

I advise you to proofread some of your write-ups before you command the last icon.
Shukran mkuu lakini sikujua kuwa kuna survey ya warekebisha headings 😂
 
Hahah Sky Eclat ametuagiza tutii Amri aliyotuachia 'Tupendane tuzidishe Upendo'
Kura yangu umeipata na kampeni nitakusaidia kupiga domo kaya!
Ewaaa... ila kwenye kampeni uwe makini. Siku hizi kuna risasi zina upendo... zinalengwa kwa mwingine lakini zinakata kona zinakufuata popote ulipo zinakudedisha. Aliyefyatua risasi anapandishwa cheo na aliyedhamiriwa kucharazwa anawekwa rumande.

Ikiwa hivyo upendo huu tuuweke kando, tubakie na upendo wa "lete kama tulivyo" huku tukisindikizwa na sahani zilizosheheni protini ya kuchoma.

Baada ya kusema hayo napenda kukuuliza Eti kama hakuna kama mama, ni nani wa kumfananisha na baba?
 
Back
Top Bottom