Jinsi Wasomi waliofeli maisha walivyosaidia kurejesha upendo kwenye familia nyingi mtaani

sheremaya

JF-Expert Member
Mar 22, 2015
2,895
5,909
Rejea hapo nyuma wale vijana wa rika lako ambao walionekana watukutu shuleni na mtaani, walitazamiwa kuja kuishi maisha magumu kwa sababu ya kuchukiwa na wazazi wao pamoja na watu wengine.
Maisha yakazidi kusonga wewe ambae ulionekana mwema,mtoto mzuri unaefaa kuigwa na jamii na kila mzazi alitamani uwe mtoto wake ukahitimu A level,ukaenda chuo na kubahatika kibarua
Huku nyuma wale watukutu na wakorofi walizidi kuchukiwa na wazazi wao pamoja na ndugu zao kwa kuonekana hawafai.

Sasa wewe msomi
unapokosa ajira na kurudi nyumbani au
Unapata ajira unafukuzwa na kurudi myumbani

Wale wazazi wa watoto watukutu huanza kurudisha upendo kwa watoto wao kwa kusema mbona mtoto wa fulani amepoteza tu ada za wazazi wake bora wangempa mtaji afanye biashara
Na wale vijana watukutu mtaani wanaanza kujifariji mbona fulani kazingua yupo tu kitaa anasota nasisi..wanasahau kwamba muda wowote unaweza ukafyatuka kama mshale

MLIOPO KAZINI IWE KWA KUAJIRIWA AMA KUJIAJIRI MUWE NA HESHIMA,ADABU,BUSARA NA UTII.ili msije kudharaulika mtaani
 
Wengi walokuwa hawakosesrious na shule wameshatoboa kwa biashara au mavyteti ya kununua hlfu mtu bado unasota na ajira haieleweki na bado bodi wanalima kumi na tano... Wht a https://jamii.app/JFUserGuide ...
 
Ila mtaani kugumu kudadeki hadi utoboe unakuwa umesotaa balaa...nahisi wenzetu wasomi wanatusua kirahisi sana labda azingue ye mwenyewe kwa kubweteka tu...
 
Duh kitaa ni hatariii sana Kuna majamaa tulisoma nayo yalikuwa matukutu kinyama, tuliyazarau ile ile yaani kwakujua mwisho wao sio mzurii ila uwezi amini karibia yote yalienda JW ila wenzangu namimi walioenda mpaka degree tupo nao kitaa wanasugua gaga. Hawa machalii wajeda wakijaga likizo navindinga vyao wanatujambisha kinyama yani
 
Huna tofauti na wazee wa conspiracy ambao wanachukua sample ya mtu mmoja kutoka kwenye population ya watu 500 kufanya general conclusion..
 
Huna tofauti na wazee wa conspiracy ambao wanachukua sample ya mtu mmoja kutoka kwenye population ya watu 500 kufanya general conclusion..

Kama wewe upo kazini hizi habari haziwezi kukufikia,hebu ingia mtaani uone uhalisia au jambo baya likupate kazini alafu urudi mtaani japo sikuombei ubaya.
 
Maneno ya mkosaji hayo unapofanya hyo analysis jaribu kubalance general sio mmoja aliesoma akaharibu alaf ukagereralize

Wahenga wana msemo wao kwamba kenge huwa hasikii mpaka sikio lipasuke na aone damu
 
Noble man, Gentle man, Golden Boys, never give up,,,,,, bora ume twambia lakin mtoa uzi.... Ujue kuna mijitu ikiwa ofsini inazingua sana, wengine wanawafoka watu by that moment ndo first impression imechukua nafac lakin lijitu linafokafoka, maisha hayakogo ivyo bna... Take time, correct yr mistakes gentle men in the office, remember there is life after office.

Hakika comment ya mtoa uzi hapo mwishoni imenigusa kiaina
 
Back
Top Bottom