Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nimfanye nini mke wangu huyu? Naombeni ushauri kwani nimegunduamke wangu amepata mchepuko kiasi kwamba ameanza kuwa na katabia ka udanganyifu. Nimemchunguza sana ktk cmu yke nikakuta msg...
1 Reactions
57 Replies
6K Views
Sasa ipo ivi kipindi naanza chuo nilikutana na mdada mmoja tunasoma course moja tukazoeana lecture tukawa tunakaa wote namsainia na kumfanyia assignment asipokuwepo kiukweli ule ukaribu ulinifanya...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Unagundua dada yako (kwa mama/baba mdogo/mkubwa) anataka umpige nao,unajikausha tu kwa muda mrefu sana ili kulinda heshima yenu na ya wazazi wenu,Siku ya siku mkeo naye anagundua hicho...
0 Reactions
87 Replies
7K Views
Hello guys, Baada ya kupitia rejetions za kutosha, sasa nimebuni mbinu murua za ku-notice na kuepuka vibuti kabla havijanifikia, hizi njia huwa zina-save my time, money, and energy, pia hii mbinu...
22 Reactions
244 Replies
29K Views
Habari wanandugu, Ilikuwa mwezi wa 4 mwaka 2007 nikiwa zangu hospitali ya KCMC Moshi huko nimeenda kufanya field. Siku moja tukiwa tunakaribia kumaliza shifti akatokea mama mmoja na mwanawe wa...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Hodi humu ndani, Sijui ninakasumba gani mimi, nimahiri kwenye kutongoza lakini kukataliwa ni suala la kawaida sana japo kuwa mimi ni kijana handsome na mwenye sifa zote.
2 Reactions
38 Replies
10K Views
Habari zenu. Ni kwamba nilikuwa n tabia ya kupenda wadada wasafi fulani kimuonekana, yaani maduu. Mwezi uliopita niliend kula kwa ama lishe, sijajua kilitokea nini. Kuna binti kimuonekano "mchafu...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Na. Robert Heriel. Wanawake wanapenda uhuru sana lakini hawajui athari za uhuru. Tumeshuhudia katika zama hizi za Utandawazi wakidai haki mbalimbali ikiwemo haki ya maamuzi katika mitindo yao ya...
17 Reactions
73 Replies
8K Views
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] _*Swaga za wanawake*_ 1. Ndio nakuja ila ujue sikai sana 2. Nishukie wapi? 3. Saizi saa ngapi nataka kuondoka 4. Ubaya wako...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Hivi ni nani aliyewakaririsha wanawake kwamba lazima walale upande wa ukutani? Haka katabia hata kwaupande wangu kananitokea pindi niwapo kitandani basi lazima mwanamke atapenda kulala ukutani...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu salaam Husika na kichwa cha habari hapo juu, pasi na kutoa kisa kirefu naomba mnisaidie kwa kujibu swali hili: Kuna tatizo gani kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine, na huyo mwanaume...
2 Reactions
199 Replies
19K Views
Habari za mwisho wa wiki waungwana, Hiki kisa ninachokisimulia hapa naona kama kinataka kujirudia na tukio lililotukia nikiwa mwanamke wa makamo I was in my last 30s year.... Ni miaka 10...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Wala nisiwachoshe.ilikuwa mwaka 2009 katika mizunguo yangu ya kikazi nikawa nasafiri na private car kwenda mwanza. So nikapita Dodoma maana kuna msichana nlikuwa namdate kila nikipita ile barabara...
22 Reactions
41 Replies
9K Views
*MUHIMU*``` [emoji654]Kuna siku marafiki tutatengana[emoji174] hatutaonana tena wala kuwasiliana.[emoji181] [emoji654]Wengine umri utakuwa umeenda[emoji803] sana wamekuwa wazee na wengine...
23 Reactions
60 Replies
6K Views
Nigani asee machalii,Ma'dingilii na ma'manzi wa humu fas ya MMU!!Mko yente eeh.!?....Direct to e'point,aisee me nawaambiaje.!Kuna baadhi ya ma'manzi hawatatimba ndichi duas ya Mbinguni kwa Sir God...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Kuna dada mmoja mzuri sana shombeshombe tunakaa nae mtaa mmoja. Ameamia hivi karibuni, anaishi mwenyewe. Nimetokea sana kuvutiwa nae, angalau niwe karibu nae, tuwe tunabadilisha...
2 Reactions
78 Replies
7K Views
awali ya yote naomba mlio karibu na "gavana" mfikishieni ujumbe kuwa hiyo kanzidata(database) yake anayofiikiria kuijenga ambayo itatumika kuhifadhi taarifa za wanandoa haitakuja kusaidia kitu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea. Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh.2500/= na tofali 1 la inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi Tsh.1300/=. Kama unakunywa wastani wa bia...
5 Reactions
64 Replies
7K Views
Nilishamwambia mapema haya mambo yanataka moyo wa chuma, ukiwa na moyo laini wa kike hayafai kabisa. Siku 7 tu na mwili umenywea. Hizi ni meseji ambazo zimemfanya jamaa mpaka leo asirudi kwa...
29 Reactions
417 Replies
39K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…