Ogopa sana mwanamke wa hiv

Ogopa sana mwanamke wa hiv

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,085
Reaction score
16,063
1.anaonyesha mapenz mazito hata wik or mwez hamjafikisha toka muwe wapenz

2.mwenye malalamiko kwamba hutimiz ahadi..(huyu ni hatar..na mbinafsi,..yeye katimiza ahad gan kwako,kukupa papuch au?)

3.aliyewai pendana na mtu sana wakaachana na umri imeenda,hawa huwa hawapend tena na character za juu hapa znawahusu sana na wana visasi


Nadhan niishie hapo.kama unalakuongezea bas sauwa

Uzi tayar
 
Nachukia mtu asiyetimiza ahadi hata kama ni ndogo kiasi gani, mfano mdogo umeahidi nitakupigia saa tatu then haupigi mpaka kesho na kesho ikifika hata huoni tatizo
Si kwel,ukiona mtu analalamika hutimizi ahad ujue ni ahad flan hiv
 
Si kwel,ukiona mtu analalamika hutimizi ahad ujue ni ahad flan hiv
Ahadi ni ahadi tu ndugu yangu haijalishi umeahidi nini unatakiwa kutimiza kama huna mpango wa kutimiza basi usiahidi. Ukiwa na tabia hii nitakuona muongo muongo na hii ni tabia nambari moja ninayoichukia hapa chini ya jua
 
Nachukia mtu asiyetimiza ahadi hata kama ni ndogo kiasi gani, mfano mdogo umeahidi nitakupigia saa tatu then haupigi mpaka kesho na kesho ikifika hata huoni tatizo
Mwanamke anayejali sana siendani nae na mda si mrefu lazima tutaachana tu kwa hiyo tabia.
Ishu ya simu Anatakiwa asubir ntampigia.
 
Ogopa sana mwanamke anaeishi peke yake ni sawa na nyati aliejeruhiwa,huwa ni zaidi ya headmaster kila kitu mpaka yeye aridhie,
 
Ogopa sana kuitwa my/wangu mda mchache toka mbadilishane namba
 
Fafanua namba 1
Hisia kali zinatakiwa zianze kuoneshwa tangu uhusiano kuanza?
 
1. Unatafakari vipi kauli za "utusamehe makosa yetu kama nasi tuwasameheavyo wanaotukosea"? MATHAYO 6:12

2. Umeshajitathimini kabla ya kukosoa wengine na kujiona wewe si chanzo cha kutotimiziwa ahadi zako? MATHAYO 7:1-5

3. Wapi penye faida hasa kati ya kusamehe na kujijazia chuki rohoni mwako yani kimwili + kiafya + kiroho + kiakili?
 
Nachukia mtu asiyetimiza ahadi hata kama ni ndogo kiasi gani, mfano mdogo umeahidi nitakupigia saa tatu then haupigi mpaka kesho na kesho ikifika hata huoni tatizo
1. Unatafakari vipi kauli za "utusamehe makosa yetu kama nasi tuwasameheavyo wanaotukosea"? MATHAYO 6:12

2. Umeshajitathimini kabla ya kukosoa wengine na kujiona wewe si chanzo cha kutotimiziwa ahadi zako? MATHAYO 7:1-5

3. Wapi penye faida hasa kati ya kusamehe na kujijazia chuki rohoni mwako yani kimwili + kiafya + kiroho + kiakili?
 
Nachukia mtu asiyetimiza ahadi hata kama ni ndogo kiasi gani, mfano mdogo umeahidi nitakupigia saa tatu then haupigi mpaka kesho na kesho ikifika hata huoni tatizo
Ahaaa...kumbe !!! ndo mana namimi nikimuahidi Suzi kuwa ntampigia nisipompigia anamaind sana...
 
1. Unatafakari vipi kauli za "utusamehe makosa yetu kama nasi tuwasameheavyo wanaotukosea"? MATHAYO 6:12

2. Umeshajitathimini kabla ya kukosoa wengine na kujiona wewe si chanzo cha kutotimiziwa ahadi zako? MATHAYO 7:1-5

3. Wapi penye faida hasa kati ya kusamehe na kujijazia chuki rohoni mwako yani kimwili + kiafya + kiroho + kiakili?
Ndio nimsamehe kila siku? Mara moja au mbili sawa
 
Back
Top Bottom