Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kiukweli wanaume tumeumbwa na wivu mwingi na mfumo dume juu kosa la usaliti ambalo unalifanya kwa mpnz wako tena na watu tofauti baadae unajisifu na kujiona mjanja bila kujali hisia za mwenza...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Jumuiya ya mabaharia Tanzania Inaandaa mkutano wa mabaharia na kupinga namna neno Baharia linavyotumika na kutafsiriwa vibaya kinyume na mabaharia wenyewe Katika mkutano huo pia watatoa elimu na...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu, Hii story yaweza kuwa ndefu lakini ntaifupisha kadri niwezavyo. Nilimfahamu mwaka 2016, msichana Renatha (sio jina lake halisi) kupitia best yangu. Yeye na best ni watu wa vijiji...
5 Reactions
101 Replies
11K Views
Nafahamu kuwa Mabinti hutegemea wanaume wawatongoze ili kuanza kujenga mahusiano na baadae Ndoa. Ni sahihi kabisa. . Lakini, ukiwa kama Binti, unayo nafasi yako endapo mwanaume aliye sahihi...
6 Reactions
60 Replies
7K Views
Mimi ni kijana ninatumia minimum dakika 30 kwa safari moja haijalishi ndo naanza. Msichana wangu anachoka sana kiasi kwamba siku nyingine uniacha bila kufikisha kileleni. Nampenda sana uyu binti...
2 Reactions
141 Replies
12K Views
Kichwa cha habari juu chahusika, Leo nmeamua kuandka ki official zaidi. Wanaume tuliopo mjin hapa Dsm kama umekula papuchi nyingi bhs utakuwa sambamba na mimi. Papuchi za Dar sio Tamu kabisa...
1 Reactions
54 Replies
10K Views
tafadhali wadau, nimejaaliwa kupata mtoto wa kike juz tarehe 09.09.2019 naomba mnisaidie kunichagulia jina zuri lenye kuanza na herufi J.
1 Reactions
48 Replies
6K Views
Karibia wiki ya tatu sasa mshikaji wangu wa karibu sana amekua akitaka kunitambulisha kwa mchepuko wake mpya, mm na huyo mshikaji huwa hatufichani mambo yetu, tumekua kama ndugu, iwe misiba au...
8 Reactions
83 Replies
8K Views
Mabinti wanakuja kwa gia ya kuomba kuangalia movie magetoni baada ya hapo uanza kulazimisha mazoea sio ajabu akakuomba funguo kabisa ili ukiwa upo kazini acheki video za bongo na maigizo...
6 Reactions
63 Replies
8K Views
Baada ya kumkuta na njemba fulani analochepuka nalo, akajitetea kwamba ndugu yangu hawezi kazi ndio maana ameamua kuchepuka, ila kama nataka aachane na jamaa basi Mimi niwe tayari kumpa huduma...
5 Reactions
103 Replies
16K Views
Wana Jamvi, Mfao umempata mke umeoa hajawahi kwambia kuwa huwa hali KUKU, MAHARAGE, SAMAKI, DAGAA NA NYANYA CHUNGU. anasema akila anawashwa mwili mzima na kutapika hapo hapo hata harufu ya hivyo...
0 Reactions
74 Replies
6K Views
Ndoto ya kwanza Hii ndoto niliota jmosi,mara nyingi nikiota ndoto najikuta asubui yake sikumbuki lakn kwa hii ilikua tofauti. Nina mshikaji wangu wa damu sana ni marafiki wa mda mrefu sana. Ndoto...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NOTE: Mikoa yote na jamii zake ni bora katika upekee wao. Huu ni mtazamo wangu kwa kadiri ya uzoefu na ujuaji wangu. KUPENDEZA/UTANASHATI: 1. Dar es Salaam 2. Kagera 3. Kilimanjaro 4. Mbeya 5...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Mfano wewe ni mwanaume au mwanamke umemkosea mpenzi wako kosa ambalo linasameheka lakini ulivyomtumia ujumbe wa kumuomba msamaha mwenzako akaendelea kukaa kimya bila kujibu chochote Je inapopita...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Siku za hivi karibuni wametokea wanaume wenye tabia ya kuweka hadharani mambo wanayoongea PM na wanawake wa humu JF. wa kwanza aliexpose maisha ya wanawake 15 aliochat nao PM, wa pili ni huyu...
0 Reactions
0 Replies
705 Views
Habari wanaJF Mimi kama baharia mzoefu nasikitika sana nimeshindwa kuelewa hili swala kwa upana.. kumejitokeza wimbi la wadada huko Instagram wakidai kutafuta wenza, wachumba wa kuishi nao wengi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari wakati mwingine mambo yanaweza kutokea mpaka usipate jibu. Ni kwamba nipo katika mahusiano na single mother na ana mtoto mkubwa wa kike miaka 18+ na mtoto anajua mahusiano yetu...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Jamani Huyu kiumbe ananichanganya kweli, nilichapa kweli na ni kavu kavu ila sasa ni hivi, Ana mwezi wa pili huu Siku zake hajaziona ameshapima Mimba zaidi ya mara 2 na zile UPT zao mbele yangu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu mie sijui wapi nafeli mwenzenu yaani ubaharia unanishinda kabsa. Nipo maeneo fulani ya Morogoro ndio msimu wa mavuno baa zote zimejaa malaya tu yaan wadau wanajipigia tu mbuye hizi ila...
11 Reactions
127 Replies
20K Views
RAFIKI Kama umezoea wakubwa wenzio basi hebu usijaribu kutongoza hawa mabinti wa chini ya miaka 20 Nilimtokea mmoja miezi kadhaa ilopita na mambo yakawa hivi 1. Kwanza amekubali baada ya wiki 2...
20 Reactions
123 Replies
17K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…