DENI LA BENKI
Member
- Sep 15, 2019
- 14
- 11
Salaaam....
Ngoja niende kwenye mada
Bila kificho niwazi kwamba wahuni wanamthamini mtu na shida zake "regardless" anamkosea mungu au serikali.
Ukipata "demu" hata kama huna pesa za kutosha yupo msela atakwambia "weka tu mafuta kwenye boda yangu kamfate Shemu". Mwingine atajitokeza " funguo za ghetto hizi hapa utanipa ukitoka". Mwingine atakwambia "pitia getoni kwangu kuna 'ndomu' pakti moja sijatumia". Na ikitokea getoni umewakuta masela utaona hata kama hujawaomba wanakupisha. Wanakusaidia kwa adabu kama wanampisha mtu anayetaka kuswali. Utasaidiwa kila kitu kiasi cha kufikia kuzini tuu na kuondoka.
Ila sasa ukitaka kwenda sijui kanisani ,kila unayemuomba rifti hasimami. Kama ni msikitini utaangaika na kanzu ya kuazima hadi mudi ya kuswali ina"vepa".
#Mniombee🛌🛌🛌
Ngoja niende kwenye mada
Bila kificho niwazi kwamba wahuni wanamthamini mtu na shida zake "regardless" anamkosea mungu au serikali.
Ukipata "demu" hata kama huna pesa za kutosha yupo msela atakwambia "weka tu mafuta kwenye boda yangu kamfate Shemu". Mwingine atajitokeza " funguo za ghetto hizi hapa utanipa ukitoka". Mwingine atakwambia "pitia getoni kwangu kuna 'ndomu' pakti moja sijatumia". Na ikitokea getoni umewakuta masela utaona hata kama hujawaomba wanakupisha. Wanakusaidia kwa adabu kama wanampisha mtu anayetaka kuswali. Utasaidiwa kila kitu kiasi cha kufikia kuzini tuu na kuondoka.
Ila sasa ukitaka kwenda sijui kanisani ,kila unayemuomba rifti hasimami. Kama ni msikitini utaangaika na kanzu ya kuazima hadi mudi ya kuswali ina"vepa".
#Mniombee🛌🛌🛌