Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kuna baharia hapa mtaani kwangu alikuwa ana mahusiano ya muda mrefu na binti flani hivi ambaye anaishi mtaa wa tatu toka hapa tulipo ninapoishi Mimi na huyo baharia........
Kwa kifupi mahusiano ya huyu baharia na huyu binti ni ya muda mrefu kila mtu anafahamu na baharia anatambulika sana katika ile familia ya binti ambaye ana mahusiano nae na imefika hatua mshikaji alimsomesha binti hadi kumaliza chuo kikuu hadi binti kaajiriwa serikalini na ana cheo kizuri tuu.....
Sasa kizaizai kimeanza siku kadhaa mshikaji alipotangaza kutia nia ya kumuoa na kufunga ndoa huyo binti kwa kifupi kilichotokea ile familia upande wa binti imegoma kabisa binti yao mshikaji kuoa katika familia yao mbaya zaidi ile familia inadai mtoto wao hawawezi kukubali aolewe mtu ambaye sio msomi mbaya zaidi mshikaji hana kazi ila anaishi kwa kuunga ungaa na mishe mishe za mjini kielimu hakusoma sana japo aliishia form six........
Kwa kifupi ndo hayo hapa mtaani kwangu imekuwa kila mtu anazungumzia hiyo issue ya mshikaji kukataliwa na familia ya binti yao kuolewa na mshikaji kila mtu anashangaa kwanini kipindi anamsomesha binti wasingemuwekea kipingamiziii
Kwa kifupi mahusiano ya huyu baharia na huyu binti ni ya muda mrefu kila mtu anafahamu na baharia anatambulika sana katika ile familia ya binti ambaye ana mahusiano nae na imefika hatua mshikaji alimsomesha binti hadi kumaliza chuo kikuu hadi binti kaajiriwa serikalini na ana cheo kizuri tuu.....
Sasa kizaizai kimeanza siku kadhaa mshikaji alipotangaza kutia nia ya kumuoa na kufunga ndoa huyo binti kwa kifupi kilichotokea ile familia upande wa binti imegoma kabisa binti yao mshikaji kuoa katika familia yao mbaya zaidi ile familia inadai mtoto wao hawawezi kukubali aolewe mtu ambaye sio msomi mbaya zaidi mshikaji hana kazi ila anaishi kwa kuunga ungaa na mishe mishe za mjini kielimu hakusoma sana japo aliishia form six........
Kwa kifupi ndo hayo hapa mtaani kwangu imekuwa kila mtu anazungumzia hiyo issue ya mshikaji kukataliwa na familia ya binti yao kuolewa na mshikaji kila mtu anashangaa kwanini kipindi anamsomesha binti wasingemuwekea kipingamiziii