Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

1. Wasikuue lakini wakulipizie Kisasi kile kile kama ulichokuwa ukimfanyia Mke wa Mtu? 2. Wasikuue lakini wakulipishe Kiasi kikubwa sana cha Pesa ambazo zitakufanya uwe Masikini Milele? 3...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa miaka yangu hii 39, nimebahatika kuwa na Watoto 3, na kutalikiana na mama yao mahakamani mwaka moja na nusu sasa. Kama inavyo sema biblia” afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa” 1 Wakorintho...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Na. Robert Heriel. Huwaga sipendi kutoa makala laini laini. Makala zenye Maneno matamu. Siku zote natoa mada ngumu zenye ukweli mchungu. Haijalishi nani inamgusa au vipi atajisikia. Ukweli...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ee nafsi yangu umhimidi Bwana, naam vyote vilivyo ndani yangu vilihimidi jina lake takatifu, asante Mungu kwa mwaka mwingine wa maisha, am so grateful to you Lord..... Happy birthday to...
11 Reactions
21 Replies
2K Views
Wazee wa kufall in love kwa watoto wakali mpo? Mara nyingi kazini, mtaani, chuo au popote pale inatokea unamzimia demu mkali na ukimwambia bado haonyeshi dalili au anakubali but anazungukazunguka...
4 Reactions
62 Replies
8K Views
Weekend ndiyo hiyoooo inaenda kuishilia. Welcome blue monday. Wanaume tunaendelea kupeana mbinu za namna ya kuishi na hawa viumbe wa kwanza kabisa kuongea na shetani live na hawakuishia hapo...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa mfano ikitokea Mwanaume na Mwanamke ambao walikuwa wakifanya Kazi Ofisi moja na ambao walikuwa wakiaminiwa mno tu ila wakapata Matatizo ya Kisheria na Jamhuri kisha wakasweka Rumande /...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Niende moja kwa moja kwenye Kusimulia.Bila shaka kila mtu amepitia utoto na katika utoto huo pengine alikuwa na tabia fulani mbaya mbaya. Kwa upande wangu moja ya tabia mbaya niliyokuwa nayo...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Habar wana jf Kuna wimbi kubwa sana la wanawake kwa wanaume kutafuta wachumba ama wapenzi ktk social Media hasa hapa jf. Binafsi nimekuwa nikijiuliza ni kweli wapo watu ambao wamefanikiwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Yaani hawa wake zetu sijui wapendwe vipi,mtu anahudumiwa na mmewe lakini bado tamaa mbele yaaani ni shida tupu. Wadau kisa chenyewe kinaanza kama hiv: Katika pita pita kufanya shopping nikafika...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habar mabaharia wa jf , Leo nimerudi kidogo na ka mkasa flani hivi Ni mda kidg wife hayupo home ,nimekua ninaishi alone Sasa hapa jirani kwetu kulikua na kaschana (mwanafunzi) alimzoea sna...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Heshima kwenu great thinkers Bila kupoteza muda let me go straight to the point. I've been looking for a beautiful girl ambae tunaeza kuwa na serious relationship and maybe later tuwe...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu msaada, Mimi na mapenzi wangu tunatumia WhatsApp sana katika mawasiliano yetu. .Hivi Karibuni kaweka WhatsApp yake bila last seen, kwa maana ya kwamba huwezi jua yupo online au...
1 Reactions
116 Replies
18K Views
Habar wana jf? Nibaada ya kupokea kipgo kwa wazee wa kuweka mzigo nimechalazwa laki [emoji1787][emoji1787] hvyo tudiscuss hii maada, ngoja niende direct. Unawezaje kummudu mwanamke anaye omba omba...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wadau nimekuwa natatizo la kisaikolojia (Physichological Effect) Kila anapokatiza mwanamke mwenye Wowowo au makalio Makubwa yani moyo huwa unaenda mbio Sana huku nikibaki namshangaa.... Wakuu...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
Sipo kwenye ndoa japo najiandaa kuwa namke. Niwe mkweli nikwamba nimeishapata mtoto wa nje tatizo langu kubwa nikushindwa kufikia maamuzi ya yupi nimuoe. Mdada niliyezaa naye miaka mitatu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Huyu kijana ambae ni kaka mshikaji kiaina kwa sasa baba yake alikua mfanya biashara. Biashara ilianza kunenepa wakati wa awamu wa pili, awamu ya tatu biashara ilikua nzuri kiasi ambacho msure...
14 Reactions
74 Replies
8K Views
Naenda kwenye Maada Juzi tumelala na mwanamke wangu mda huo mimi npo kwenye usingizi mara nasikia saut ya mtu analia nikaamka taratibu nikaona mke wangu yupo kwenye doto akiota anafanya mapezi...
2 Reactions
65 Replies
7K Views
Habari wakuu, Tujipongeze kwa harakati za kujenga Tanzania yenye viwanda Twende moja kwa moja kwenye mada yetu,wazee wa kuuza mechi za ugenini, kavukavu bila soksi Hivi unajickiaje unaruka na...
2 Reactions
50 Replies
5K Views
Nataka kuvuka boder wakuu kwenda kuemea manzi wa kitusi Sasa sijajua background zao Kwa wale wandugu wanao wajua in out hawa viumbe wa kitusi ebu nipen details zao na behavior zao wakoje maisha...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…