beevenom
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 313
- 428
Yaani hawa wake zetu sijui wapendwe vipi,mtu anahudumiwa na mmewe lakini bado tamaa mbele yaaani ni shida tupu.
Wadau kisa chenyewe kinaanza kama hiv: Katika pita pita kufanya shopping nikafika duka anauza mwanamama,full ukaribisho nikamaliza manunuzi na kuondoka. Awamu nikapita mitaa ile nikafanya manunuzi na baadae bidada akasema acha namba ukifika mzigo mkali anijulishe. Kwa kweli kila mali mpya ikifika taarifa napata kwa meseji.
Picha inaanza leo nilitakiwa kwenda kubadili nguo kwani hazikuwa ok,nashangaa sms inatumwa mara wangu mambo vp? umeenda kanisani?. Vurugu tupu,baada ya kutoka dukani kwake anapiga hovyo hovyo simu daah!.
Kibaya zaidi jioni kaanza na meseji kibao yaani anajibebisha hovyo hovyo. Nikasema ngoja nimchekeche ubongo. Ile nagusia tu kuhusu pozi lake tayari kajaa na anasema kitu yake akinipa sitamuacha khiiiii. Nikamkomalia inabidi nichimbue mgodi,yeye full kufurahi na anasema atanambia lini nitaingia shimoni kutoa madini.
Yaani nasikitika saana kwa kweli,mmewe kajichangachanga amfungulie duka yeye anawaza kupigwa mipini. Hii haifai hata kidogo,akina dada tuhurumieni jamani hata kama hatuwatombhi vizuri mtueleze tujirekebishe jamani.
Inaumiza saana wanazengo
NB:
Msimamo wa baharia mimi ni kuwa hii sumu yangu simpi ng'ooooo akafie mbali huko
Wadau kisa chenyewe kinaanza kama hiv: Katika pita pita kufanya shopping nikafika duka anauza mwanamama,full ukaribisho nikamaliza manunuzi na kuondoka. Awamu nikapita mitaa ile nikafanya manunuzi na baadae bidada akasema acha namba ukifika mzigo mkali anijulishe. Kwa kweli kila mali mpya ikifika taarifa napata kwa meseji.
Picha inaanza leo nilitakiwa kwenda kubadili nguo kwani hazikuwa ok,nashangaa sms inatumwa mara wangu mambo vp? umeenda kanisani?. Vurugu tupu,baada ya kutoka dukani kwake anapiga hovyo hovyo simu daah!.
Kibaya zaidi jioni kaanza na meseji kibao yaani anajibebisha hovyo hovyo. Nikasema ngoja nimchekeche ubongo. Ile nagusia tu kuhusu pozi lake tayari kajaa na anasema kitu yake akinipa sitamuacha khiiiii. Nikamkomalia inabidi nichimbue mgodi,yeye full kufurahi na anasema atanambia lini nitaingia shimoni kutoa madini.
Yaani nasikitika saana kwa kweli,mmewe kajichangachanga amfungulie duka yeye anawaza kupigwa mipini. Hii haifai hata kidogo,akina dada tuhurumieni jamani hata kama hatuwatombhi vizuri mtueleze tujirekebishe jamani.
Inaumiza saana wanazengo
NB:
Msimamo wa baharia mimi ni kuwa hii sumu yangu simpi ng'ooooo akafie mbali huko