Mwanamke omba omba

Mwanamke omba omba

Grau

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
4,828
Reaction score
4,736
Habar wana jf? Nibaada ya kupokea kipgo kwa wazee wa kuweka mzigo nimechalazwa laki [emoji1787][emoji1787] hvyo tudiscuss hii maada, ngoja niende direct.
Unawezaje kummudu mwanamke anaye omba omba vitu hovyo? Yaan tumetongozana leo kesho mara oooh naomba hela nikasuke, mara chupi yangu ya utajiju imeisha mara naomba uninunulie dera mpenz, mara kesho kunashughuli [emoji1787][emoji1787][emoji1787], jaman hata kuomba misaada huwa ni step by step na mimi wanawake wa hivi huwa nawakimbia tu hamna namna coz malengo yangu stayafanikisha kabisaaa,
Mapema tu umechomoa betri mara hela ya lotion, kipindi sipo nan alkuw anakuhudumia?
Kafie mbeleeeeeeeeeeee.
 
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
 
Uzi umefungwa majibu ndio hayo.
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
 
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
will try this,ushauri mzuri huu hasa kea sisi went hela
 
Umemaliza kila kitu Hakuna haja ya kuendelea na mjadala
Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela kwa sababu zifuatazo.

1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.

2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
 
Pole sana... mambo ya kawaida sana hayo, kama unayo mpe... kama huna mkaushie,,,


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom