Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hatimaye niliochepuka nao wote wana vitambi, kinachoniumiza kichwa kwa sasa ni hao watakaozaliwa wanahitaji kula vizuri, afya bora, elimu nzuri n.k ama kweli ukubwa ni majukumu
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kijana mwenzenu nimekwama nahitaji ushauri wenu, Mimi ni mkristo ila nimetokea kumpenda binti mmoja wa kiislam. Je, kuna madhara yoyote naweza kuyapata endapo nitaamua kuwa na huyu binti?
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa moja ya mambo muhimu zaidi katika malezi ni fursa ya watu wazima (wazazi au walezi) kuzungumza na kuwasikiliza watoto. Kupitia mwingiliano huu wa kila siku...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Tumeshaimba sana huu wimbo, tatizo lenu especially nyie wavulana hamsikii.. Narudia kuwakumbusha mchumba hasomeshwi! Au ukiamua kumsomesha basi ni sadaka kwa Mungu wako!! Usijipe guarantee kwa...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Kabla hatujafika mbali naomba turudie kusoma kichwa cha Habari . Kimeandikwa "Pesa zina tupa Wanawake Wepesi "Hakisemi ni Dhambi kuwa na pesa au Kutafuta pesa. Pesa ni Nguvu . Na nguvu ni kitu...
23 Reactions
95 Replies
8K Views
Amka kumekucha,,[emoji364][emoji364] Leo nakupa hii nondo[emoji1007][emoji1009] Sio mbaya kumpenda mtu. Mbaya ni kuendelea kumganda mtu ambae hisia zake hazipo kwako tena. Hata siku moja...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Kama upo kwenye uhusiano wa mapenzi na mwanamke ambaye ana matatizo ya kutofika kileleni au hajawahi kufika mshindo na kuishia kusikia kwa mashoga zake kuwa mapenzi matamu, bila shaka akikueleza...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Hebu vuta picha. Yule demu / mke wako kipenzi, unamfuma live anasuguliwa na kukamuliwa na jidume flani hivi. Afu unamsikia kabisa wakati anakojoa anakutukana kabisa kwamba hujui kumfikisha...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Kwanza nawashukuru wanajf kwa mawazo yao mazuri yakujenga,kufurahisha ukiwa na stress zako zinaisha lkn pia sitakuwa na fadhila nisipowashukuru wenyekejeli kwa comment zao maana nao ni sehemu ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu hili ni jambo la msingi na lenye baraka. Kumthamini mkeo/mumeo kuliko mtu mwingine yeyote! Watu wengi huwa wanadharau hili na kuwapa wake/waume zako second priority na ile ya kwanza ikawa...
4 Reactions
132 Replies
14K Views
Nilipofika nyumbani usiku ule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na kumwambia, Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu alikaa chini na kula chakula kimya akiwa tayari...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mimi mtu akiniambia i love you au nakupenda huwa najibu; "kupenda ni kitu kizuri" au najibu "ni kawaida kwa binadamu ambae yupo normal kupenda binadamu wenzake" au mara nyingine najibu "Mungu...
1 Reactions
40 Replies
9K Views
Nimekwama wadau
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Unajua dar kuna mambo ya ajabu sana asillimia 98 ya wakesha gym wa dar aka watengeneza six packs ni mario kazi yao ni kupenda kulelewa tu na kuomba hela Badala ya kufanya gym kwa afya na mazoezi...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii stori nimeikuta mahali. Sijui kama chanzo chake ni huku JF ila nadhani inafaa kwa mafundisho. Mafundisho ni kuwa "Mwanamme akichepuka, dhambi inakuwa nje ya mwili wake na mpenzi/mke anaweza...
4 Reactions
27 Replies
10K Views
Kumbuka mlivyokutana, mkatongozana mkaelewana, mkanjunju weee kwa kila style kila saa mkutanapo. Mkapostiana kwenye mitandao wee kila upande wa dunia. Ooh you're my errything bey...Me and you...
24 Reactions
162 Replies
11K Views
Hua kuna wapenzi huenda mliachana miaka mingi iliyopita kwa wema au mabaya.Je ni vema kurudiana na mpenzi wa zamani? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Ananikumbusha mbali sana.miaka ile wananiita GuDume Gwa Mbegu aka Kamchape. Ilikuwa yaani nikiona demu mkali udenda unanidondoka hivi....hata nikiambiwa ana ngoma naenda kumfuatilia huku moyoni...
16 Reactions
41 Replies
4K Views
Kama huna uwezo Wa kuoa bora uache! Nanyi wanawake tambueni ya kwamba siyo kila mwanaume anayekutongoza ana uwezo wa kuoa! Ile kauli ya kila mwanaume anayekusemesha unamuuliza utanioa au...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…