Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,592
- 63,090
Hatimaye niliochepuka nao wote wana vitambi, kinachoniumiza kichwa kwa sasa ni hao watakaozaliwa wanahitaji kula vizuri, afya bora, elimu nzuri n.k ama kweli ukubwa ni majukumu
Kwakili hizo huwezi ukawa Baba wewe......I doubtHatimaye niliochepuka nao wote wana vitambi, kinachoniumiza kichwa kwa sasa ni hao watakaozaliwa wanahitaji kula vizuri, afya bora, elimu nzuri n.k ama kweli ukubwa ni majukumu
ha ha ha njoo unioneHuwezi kua umezidi miaka 22 wewe dogo
ha ha ha kwa nini mkuuItakuwa utapiamlo tu
Watoto ni baraka mkuu,changamoto wote wanakuja pamoja mkuuHukujipanga sio?
ha ha ha kwa nini mkuuKwakili hizo huwezi ukawa Baba wewe......I doubt
Kweli mkuu,hapa naweka mikakati ili wasiteseke huko mbeleni na wasiingilie nyumba kubwa.Wanasema usipojipanga utapangwa!
Ndio ukubwa mkuuSawasawa
Ni kweli mkuu haikwepeki,inabidi kupambana tu...watoto ni faraja sana siku za usoni.Jipange usha ingia kwenye majukumu mkuu
Subiri majibu ya DNA dogo.Hatimaye niliochepuka nao wote wana vitambi, kinachoniumiza kichwa kwa sasa ni hao watakaozaliwa wanahitaji kula vizuri, afya bora, elimu nzuri n.k ama kweli ukubwa ni majukumu
Walitaka watoe mkuu,imebidi niwazuie kwa sababu hao kids ninawahitaji sanaSubiri majibu ya DNA dogo.
Usijimwambafai bure utakuja kulea watoto was wenzio