Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,865
- 3,640
Amka kumekucha,,[emoji364][emoji364]
Leo nakupa hii nondo[emoji1007][emoji1009]
Sio mbaya kumpenda mtu. Mbaya ni kuendelea kumganda mtu ambae hisia zake hazipo kwako tena.
Hata siku moja katika mahusiano yako usipoteze hisia zako kwa mtu ambae hazithamini. Hii ni kwa sababu atakayeishia kupata shida ni wewe. Na hata siku moja hatakuonea huruma maana kadiri unavyofanya juhudi za kuonyesha hisia zako, yeye huona kama unamfanyia karaha.
Leo nakupa hii nondo[emoji1007][emoji1009]
Sio mbaya kumpenda mtu. Mbaya ni kuendelea kumganda mtu ambae hisia zake hazipo kwako tena.
Hata siku moja katika mahusiano yako usipoteze hisia zako kwa mtu ambae hazithamini. Hii ni kwa sababu atakayeishia kupata shida ni wewe. Na hata siku moja hatakuonea huruma maana kadiri unavyofanya juhudi za kuonyesha hisia zako, yeye huona kama unamfanyia karaha.