Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Wakuu, Sijawahi na stawahi kununua malaya,lakini kutokana na mwonekano wangu mzuri sijawahi kwenda ugenini na nisilale na mwanamke yeyote. Wanawake mbalimbali huja kujigonga na kujikosha kwangu...
3 Reactions
89 Replies
3K Views
Kabla ya kuasi shetani alikuwa malaika mkuu wa Mungu yani ni kama kiranja mkuu ama waziri mkuu.... Kwahiyo zile chembe chembe za uungu bado anazo mpaka Leo hii.... Chooni panachukuliwa kama...
140 Reactions
436 Replies
78K Views
Leo nimewawazia sana madada zangu wa JF Toka niiingie sijawahi sikia mkaribisho wa harusi hadharan Nawaza mmeamua kuwa ma single maza ama ndio ile mmeiga kimya kimya tukutane nyumban Otherwise...
7 Reactions
39 Replies
496 Views
Afu demu awe mcharuko asee unaweza kupungua kilo 2 kwa kila saa. 28 huna mke hujaoa unasubiri nini? Malaya wengi wameongua na hao hao wa mtaani ndio wanaojipanga ikifika usiku. Kwanini usiende...
3 Reactions
21 Replies
222 Views
Kuna mwanamke alitokea kunipenda sana, mimi nikawa namcheat kwa siri,bahati mbaya siku moja akafuma sms zangu nikiwa nachati na mchepuko wangu, alilia sana akaapa kunichukia daima, akaniblock...
2 Reactions
13 Replies
196 Views
Niliwauliza wanawake 40+ swali moja la ajabu sana… “Ni kitu gani mwanaume hufanya ambacho kinawasisimua zaidi ?” Nilidhani wangesema: Misuli ya tumbo. Pesa. Au ubabe wa mwanaume. Lakini majibu...
12 Reactions
89 Replies
2K Views
Huwa inarudi kwenye upya wake... Kwa hiyo nawashauri muwe mnazitunza.... Pia mkila mboga za majani inaifanya iwe na afya...... Kaika kuiosha usitumie sabuni ...piga maji tu kwa wingi....kwani...
4 Reactions
12 Replies
372 Views
Yes. Their own houses. The same house where they pay the rent. The same house where they pay the children's school fees. The same house where they buy the food everyone eats. Yet at night, the...
14 Reactions
142 Replies
1K Views
WANAWAKE WANAJUA NI MUDA GANI SAHIHI WA KUMSHINDA MWANAUME. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Mwanamke yeyote anayejifanya mjuaji kikawaida huwa na akili ndogo. Ni wengi huishia kwenye...
67 Reactions
150 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu. Moja kwa moja kwenye hoja. Nilikutana na huyu mwamba kama mwaka mmoja uliopita. Akanimwagia sera zake nikazikubali. Mimi naishi kwetu nyumbani pamoja na mama. Huyu mwamba ni...
11 Reactions
148 Replies
2K Views
kijana ana miaka 28 yupo normal kiuchumi ana shughuli zake, kapata mchumba mwenye 23, wanapendana perfect match, kufika kwao kupeleka posa wazazi wanahitaji MILIONI 7 wazazi kuna muda mwengine ni...
9 Reactions
54 Replies
718 Views
Mambo vipi. Masela wasome hii watapata kitu Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na...
19 Reactions
40 Replies
2K Views
Ndugu zangu. Ukiwa na akili yale mazingira yanatisha hakika , yanaogopesha mno hasa linapokuja swala la kulamba . Wanaume tumekua tukionewa na kunyanyasika dhidi ya dhuluma hii na wengine...
20 Reactions
203 Replies
3K Views
SEHEMU AMBAYO HAIKUPI UHURU SIO SEHEMU SAHIHI. Maisha mazuri ni yale yanayokupa uhuru wa kuishi vile unavyotaka bila shinikizo kutoka upande wowote wa dunia. Ikiwa katika mahusiano, kazi/ajira...
1 Reactions
3 Replies
136 Views
Nimepiga puchu tangu nikiwa na miaka 11 leo nina miaka 44 lakini bado nipo ngangari kitandani.msidanganywe na wauza madawa mkapotezq ela zenu bule.
4 Reactions
39 Replies
528 Views
ILI KUEPUSHA MAJANGA KWENYE NDOA TURUDI KWENYE MILA ZETU Siku hizi watu hawazingatii kabisa mambo ya kimila. Tumewadharau sana wazee wetu ndo maana majanga kila siku kwenye ndoa. Enzi zetu...
12 Reactions
68 Replies
3K Views
Kuna kauli ambayo wanawake wa sasa wanatoa eti ukinichiti na mimi nakuchiti mpaka najiuliza how come Yaani Ukichiti mume wako na mwanaume mwingine unakuwa unamkomoa au unajikomoa sijawahi...
4 Reactions
18 Replies
267 Views
Kijana anakutana na mwenzake, wanakuwa na mahusiano, baada ya hapo wanaanza kuishi pamoja kama mume na mke. Wanapata watoto, wanasaidiana majukumu, wanatambulishana ndugu zao, n.k. Miaka mingi...
7 Reactions
27 Replies
451 Views
Habarini Wana Jamvi. Nimeamini kweli Mke Wa Mtu ni sumu jamani, lilichonikuta mwenzenu basi nimekoma. Picha Ilikuwa Hivi. Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule...
32 Reactions
143 Replies
19K Views
Mwaka jana mwanamke mmoja aliomba Gerald .Aliomba TSH200k as a kwa dharura. mara ya kwanza aliogopa lakini mwanadada alilia . Alikua anaitwa Mwende Hakuwa na pesa kwa hivo ilibidi aombe...
5 Reactions
21 Replies
513 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…