Mwanamke aliyetayari

usungilo

JF-Expert Member
Aug 9, 2012
522
331
Nahitaji mwanamke atakayekuwa tayari kuzaa mtoto/watoto
Nimeoa, akitaka kuwa mke wa pili haina shida. Au anaweza kuamua kuwa free, mtoto nitampa huduma na Upendo wa baba Kama inavyotakiwa.
Huduma na matunzo mama na watoto nitayatoa Kama sehemu ya majukumu ya baba.
Vigezo na mengineyo tutaelewana PM.

Asanteni na karibuni wanawake.
 
Tangazo langu la mwanzo Mods sijui walilifuta!!!

Nahitaji mwanamke aliyetayari kuzaa mtoto/watoto Nami.
Nitatoa huduma zinazohitajika.

Nimeoa, hivyo asiwe na mawazo ya mume wa peke yake.!!
Vigezo na mengineyo tutaelewana PM.

NB: usije kunijaribu au kutaka kujua tu mimi ni nani tafadhali.
Asanteni.
Wanachuo mnavurugu humu ndani haki ya nani....!
 
Back
Top Bottom