Habari
Mimi ni mwanaume wa miaka 52,"Nipo single"Na sijawahi kufunga ndoa katika maisha yangu.
Ni mrefu wa centimetres 170(futi 5 na inchi 7),
Rangi yangu maji ya kunde,
Kwa umbo ni mwembamba.
Nimeamua kujitokeza hapa kutafuta mwanamke mwenye upendo wa dhati na aliyekuwa tayari kunikaribisha ktk moyo wake kwa jinsi nilivyo ili awe mke wa maisha yangu na hasiekuwa na makuu!!
Naitaji mwanamke mwenye sifa hizi tafadhali;
☆awe mrefu kwakuwa mimi ni mrefu
☆awe mwembamba
☆awe mweupe.
~dini yoyote
~umri wowote
~kabila lolote
Mwanamke mwenye sifa hizi mrefu,mwembamba na mweupe naomba ndie tuwasiliane.
Niko seriously na kamwe sitachezea nafsi yake mimi kinachonisumbua ni "Upweke tu",atakuwa mhimili wa maisha yangu .
Mwanamke mwenye utayari na mwenye sifa hizo,tuwasiliane kwa namba ya simu :
0712 20 43 83
Pia napatikana whatsapp.
Mimi ni mwanaume wa miaka 52,"Nipo single"Na sijawahi kufunga ndoa katika maisha yangu.
Ni mrefu wa centimetres 170(futi 5 na inchi 7),
Rangi yangu maji ya kunde,
Kwa umbo ni mwembamba.
Nimeamua kujitokeza hapa kutafuta mwanamke mwenye upendo wa dhati na aliyekuwa tayari kunikaribisha ktk moyo wake kwa jinsi nilivyo ili awe mke wa maisha yangu na hasiekuwa na makuu!!
Naitaji mwanamke mwenye sifa hizi tafadhali;
☆awe mrefu kwakuwa mimi ni mrefu
☆awe mwembamba
☆awe mweupe.
~dini yoyote
~umri wowote
~kabila lolote
Mwanamke mwenye sifa hizi mrefu,mwembamba na mweupe naomba ndie tuwasiliane.
Niko seriously na kamwe sitachezea nafsi yake mimi kinachonisumbua ni "Upweke tu",atakuwa mhimili wa maisha yangu .
Mwanamke mwenye utayari na mwenye sifa hizo,tuwasiliane kwa namba ya simu :
0712 20 43 83
Pia napatikana whatsapp.